Ugumu wa Maisha kutinga Bungeni leo

Ugumu wa Maisha kutinga Bungeni leo

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Acheni Mungu aitwe Mungu. Kwa hakika Mola akimuinua mja wake, haijali hata wenye pembe wafanye nini.

Yale mambo yetu kutokea uwanja wa Bulyaga yanazidi kushika kasi:

"Ugumu wa maisha na kuongezeka mno kwa mfumuko wa bei. Haya yakiakisiwa vilivyo na bei za vyakula sokoni."

Nani alikuwa na ubavu wa kuzipinga hoja hIzi? Chawa gani haya hayamhusu? Kimya chao ndiyo uliokuwa uthibitisho wenyewe kuwa walikuwa wameguswa!

Lissu kawaongelea wote wakiwamo wao na sasa ngoma ndiyo hiyo sasa inapwita Bungeni.

Kwa muda, yetu yatakuwa macho. Ngoja tuone kwani mwenye lake jambo sasa tunamjua.

Kumbe daktari wa uchumi Mwigulu yeye ni karani tu.

Mwananchi
 
Isije kuwa wewe umesoma kama unavyocheza michiriku.

Zingatia ugumu wa maisha umewakumba watu wote wakiwamo chawa wazamivu na hata na nyie wacheza michiriku.

Msingi wa mada Lissu katuongelea sote.
Uandishi wako wa hovyo sana. hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuandika kipuuzi kama ulivyoandika. Review it. Acha kujifariji kijinga jinga.
 
Umeandika kiuwoga uwoga sana

Nakuona kwenye siti yako ya kudumu pembeni ya dereva upande wa dirishani.

Kwa hakika notification on yako haijawahi kukutupa.

"Nimwogope nani, kama wengine kumbe ni makarani tu na mwenye matozo yake sasa anajulikana?
 
uandishi wako wa hovyo sana. hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuandika kipuuzi kama ulivyoandika. review it. acha kujifariji kijinga jinga
Utakuwa chawa mzamivu wewe na bila shaka utakuwa umeguswa vilivyo.

Nisiache kukwambia Kwa sababu nyani haoni kundule:

"Uandishi wako wa hovyo sana. hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuandika kipuuzi kama ulivyoandika. review it. acha kujifariji kijinga jinga."

Hadi hapo unasema je ewe Mburumundu.

Zingatia kwenye bold nimefanya kukazia tu wala si vinginevyo!
 
Acheni Mungu aitwe Mungu. Kwa hakika Mola akimuinua mja wake, haijali hata wenye pembe wafanye nini.

Yale mambo yetu kutokea uwanja wa Bulyaga yanazidi kushika kasi:

"Ugumu wa maisha na kuongezeka mno kwa mfumuko wa bei. Haya yakiakisiwa vilivyo na bei za vyakula sokoni."

Nani alikuwa na ubavu wa kuzipinga hoja hIzi? Chawa gani haya hayamhusu? Kimya chao ndiyo uliokuwa uthibitisho wenyewe kuwa walikuwa wameguswa!

Lissu kawaongelea wote wakiwamo wao na sasa ngoma ndiyo hiyo sasa inapwita Bungeni.

Kwa muda, yetu yatakuwa macho. Ngoja tuone kwani mwenye lake jambo sasa tunamjua.

Kumbe daktari wa uchumi Mwigulu yeye ni karani tu.

----
Source: Macho, masikio bungeni Dodoma
Hizo hoja zilikwisha letwa Bungeni na Luhaga Mpina!

Mbunge wa Kisesa!

Lissu alichofanya ni kudandia hoja ambazo kina Mpina na Mrisho Gambo wanaendelea nZo kila siku!

Chadema acheni Unafiki,leteni sera na pia mtuambie nini muarobaini wake!

Kulia lia na kulaumu,bila kuonyesha Dira!

Bado hamtaweza kupata Political Mileage toka kwa wananchi walio na uekewa mpana!
 
Hizo hoja zilikwisha letwa Bungeni na Luhaga Mpina!

Mbunge wa Kisesa!

Lissu alichofanya ni kudandia hoja ambazo kina Mpina na Mrisho Gambo wanaendelea nZo kila siku!

Chadema acheni Unafiki,leteni sera na pia mtuambie nini muarobaini wake!

Kulia lia na kulaumu,bila kuonyesha Dira!

Bado hamtaweza kupata Political Mileage toka kwa wananchi walio na uekewa mpana!

Kwa hiyo Mpina na Gambo walishaongelea? Huenda na wewe utakuwa ulishaliongelea. Si ungekuwa umejijumuisha hapo?

Suala si kuliongelea bali namna ya kuliongelea. Hapo ndipo ilipo tofauti.

"Mpira hata Mayele anacheza ila Messi ni tofauti."

Jifunzeni kuvitambua vipaji vya watu. Wengine ni wapakwa mafuta na wengine ni wabeba maono!
 
Watapiga story huko na hakuna la maana watakalofanya, mpaka leo sijui ule mpango wa Bashe kutoa chakula kwenye maghala umefikia wapi?

Siasa tupu!.
 
Watapiga story huko na hakuna la maana watakalofanya, mpaka leo sijui ule mpango wa Bashe kutoa chakula kwenye maghala umefikia wapi?

Siasa tupu!.

La kufanya wala ufumbuzi hawana. Inafahamika wako kimaslahi zaidi. Ila wajue kwamba haya yanayokera wengi tunayaona na maisha hayataendelea hivi milele.

Ninakazia:

"Kwa muda, yetu yatakuwa macho. Ngoja tuone kwani mwenye lake jambo tunamjua."
 
Hizo hoja zilikwisha letwa Bungeni na Luhaga Mpina!

Mbunge wa Kisesa!

Lissu alichofanya ni kudandia hoja ambazo kina Mpina na Mrisho Gambo wanaendelea nZo kila siku!

Chadema acheni Unafiki,leteni sera na pia mtuambie nini muarobaini wake!

Kulia lia na kulaumu,bila kuonyesha Dira!

Bado hamtaweza kupata Political Mileage toka kwa wananchi walio na uekewa mpana!
Je zilifanyiwa kazi kwa muda muafaka au zilipuuzwa??Huoni kuwa baada ya majembe wa nchi kuruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara Serikali inakuwa makini?Tayari mwiba kwa Serikali umeshaingia kwa hiyo Serikali itafanya kila namna kuyashughulikia matatizo kwa wakati ili tu kuwazima mdomo akina Tundu Lissu huku Watanzania wakiendelea kupumua taratibu na maisha yao ya neema kusonga bila vikwazo.
 
Back
Top Bottom