Uhaba wa madereva wa Malori unatishia uchumi wa Uingereza

Uhaba wa madereva wa Malori unatishia uchumi wa Uingereza

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Source BBC14, July 2021

Uingereza inakabiliwa na uhaba wa madereva wa malori, upungufu uliopo ambao unahitaji kuzibwa haraka ni maderava 100,000.

Athari zilizotokea mpaka sasa ni Nandos kufunga baadhi ya migahawa yake wa kukosa malighafi.

Mc Donald kuacha kuuza milk shake kwa kukosa supply.

Iceland supermarket wanalazimika ku cancel mapokezi 30-40 kwa siku.

Break Points pia kando ya Barabara kubwa zinakabiliwa na uhaba wa petrol na diesel.

Riport ya bank Kuu paia inaonyesha maduka yanayouza furniture yameathirika sana kwa kukosa mali za kuwapelekea wateja hata za kuweka dukani.

Tatizo hili limesababishwa na Covid pandemic pia Uingereza kujitoa katika Jumuia ya Ulaya.
 
Hii ...ni fursa
Basi hawa baada ya Brexit itakuwa wamepungukiwa wafanya kazi sekta karibu zote??
Kuna madereva wa mabasi na madereva wa trains pia watahitajika sana
 
Vigezo gani wanahitaji kwa hizi post za uederva kama haupo U.K?
Ukifika lazima wakupige brush kwenye system zao kwanza. Watakupa theory w
Exam na driving test.
 
Source BBC14, July 2021

Uingereza inakabiliwa na uhaba wa madereva wa malori, upungufu uliopo ambao unahitaji kuzibwa haraka ni maderava 100,000.

Athari zilizotokea mpaka sasa ni Nandos kufunga baadhi ya migahawa yake wa kukosa malighafi.

Mc Donald kuacha kuuza milk shake kwa kukosa supply.

Iceland supermarket wanalazimika ku cancel mapokezi 30-40 kwa siku.

Break Points pia kando ya Barabara kubwa zinakabiliwa na uhaba wa petrol na diesel.

Riport ya bank Kuu paia inaonyesha maduka yanayouza furniture yameathirika sana kwa kukosa mali za kuwapelekea wateja hata za kuweka dukani.

Tatizo hili limesababishwa na Covid pandemic pia Uingereza kujitoa katika Jumuia ya Ulaya.
Uingereza hawawezi kua na uhaba wa madereva. Wakishindwa kabisa wanachota maafrika huku yenye maisha magumu yanapewa uraia. Au unatengenezwa ujanja wa mazingira ya ukimbizi. Maafrika yanakua kama yana act kama yanakimbia kwao kumbe ni planned mission. Wakifika kule yanapewa hayo makazi na yanalipwa kidogo
 
Back
Top Bottom