Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yapo mengi sana sana Kila mahali hahaaMama yetu anazidi kuzeeka Kwa mawazo maana kilasiku ni sinema mpya inaibuka
Yapo mengi sana sana Kila mahaliMama yetu anazidi kuzeeka Kwa mawazo maana kilasiku ni sinema mpya inaibuka
Nchi hii inahujumiwa sanaa na watu wasio wazelendo ngoja tuendelee but one day watu watachoka ndo wataona sura Halisi ya Mtz
Si mnasema Waarabu wanawaibia? Kojoleeni kwenye matanki ya gari sasa muendeshe magari.Sio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!
Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.
Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.
Eeh!!! Hao CCM wanawapakia akina mama kwenye ma kenta
Aaah, unafanya mchezo na CCM wewe. Kila usafiri unatumika, ngoja karibuni tutatowa vyuma vya uhakika hivi:Eeh!!! Hao CCM wanawapakia akina mama kwenye ma kenta
ExactlyArtificial scarcity
Sisi wa magari ya Umeme mambo shwari kabisa!Si mnasema Waarabu wanawaibia? Kojoleeni kwenye matanki ya gari sasa muendeshe magari.
"baniani mbaya kiatu chake dawa"?
Mwende mkabadili mifumo ya magari yenu itumie Taifa Gas ya Rostam Aziz.
Teh teh teh Mkuu....
π π πHili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.
Jitahidi kuficha upumbavu wako.Si mnasema Waarabu wanawaibia? Kojoleeni kwenye matanki ya gari sasa muendeshe magari.
"baniani mbaya kiatu chake dawa"?
Mwende mkabadili mifumo ya magari yenu itumie Taifa Gas ya Rostam Aziz.
C mnajidai mnajua san mnapinga DP world mtajua hamjui!! "Hili nalo mkaliangalie"Sio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!
Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.
Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.