Uhaba wa Maji Dar es Salaam: Harufu zimeanza kuwa kali maofisini na Majumbani

Uhaba wa Maji Dar es Salaam: Harufu zimeanza kuwa kali maofisini na Majumbani

seedfarm

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
260
Reaction score
2,655
Watu wa Dar es Salaam, Mambo yamekuwa sio mambo, ni harufu kali na uchafuzi wa mazingira unatokana na uhaba wa maji

Familia zenye watu wengi ni shida na balaa, Watu wana nawa uso tu, nguo hazifuliwi zinanuka jasho

Je, CCM ni ile ile au hii nyingine

Na joto kali sio Dar es Salaam tu bali Tanzania nzima

Mvua zisiponyesha Kifuatacho ni njaa njaa kama Madagascar wanaokula udongo kwa sasa

Mlioshikilia Mabwawa na umeme waoneeni huruma wananchi, Maji yatasababisha watu kukimbiana
 
Na bado hawa raia watasema hakuna haja ya katiba mpya na hawawezi kuona uhusiano wa katiba inayoibana serikali kuhakikisha huduma zinazogusa afya-ya-jamii (Public Health) zikitamkwa (proclaimed) katika katiba bila kujali vyama au itikadi.

Maagano baina ya raia na viongozi wao ktk masuala nyeti kama afya, huduma za maji safi, elimu, bima ya afya n.k hayatakiwi kuchezewa kwa kuingizwa na kutolewa ktk manifesto / ilani za vyama, bali yanatakiwa kuwa ni lazima wakati wote kwa kusilibwa ndani ya katiba ili yasichezewe na wanasiasa kwa kuwekwa ktk matamko yanayoweza kubadilishwa yaani vipaumbele vya ilani za vyama.

Na kuwa serikali yoyote inayoingia madarakani itapimwa kila siku kwa kuangalia utekelezaji wa masuala nyeti yaliyomo ktk katiba.
 
This is a Public Health concern.
Kwa miaka mitano tangu 2015 mpaka 2020, Maji na umeme hayakuwahi kukatika hovyo Dar na Jua lilikuwa kali sana

JPM alisema watu wanafungulia maji makusudi mtera, na Mabwawa mengine ili tuwe na uhaba wa umeme na maji

JPM alifoka sana na alitoa onyo kali kwa wahusika, Ikawa ndio mwisho wa maji na umeme kukatika Tanzania

Leo biashara za visima, Generator na solar zimeanza

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Leo watu wananuka jasho Dar

Ukipata tatizo la tumbo ndio utajua JPM alikuwa Mwamba sana

Haya ya sasa tuliyapitia wakati wa kikwete mpaka 2015 mwishoni, Wakati wa Jakaya maji tulinunua sana, JPM ndie a lie badilisha mfumo maji na umeme ikawa sehemu ya maisha yetu
 
Watu wa Dar es Salaam, Mambo yamekuwa sio mambo, ni harufu kali na uchafuzi wa mazingira unatokana na uhaba wa maji

Familia zenye watu wengi ni shida na balaa, Watu wana nawa uso tu, nguo hazifuliwi zinanuka jasho...
Yaani sisi tuna ifungua nchi wewe unasema tunafungua :harufu" utakuwa unatania
 
Na bado hawa raia watasema hakuna haja ya katiba mpya na hawawezi kuona uhusiano wa katiba inayoibana serikali kuhakikisha huduma zinazogusa afya-ya-jamii (Public Health) zikitamkwa (proclaimed) katika katiba bila kujali vyama au itikadi...
Hivi wewe kweli huwa una akili! Katiba katiba! Hujui kuwa katiba ni kitabu kama Vitabu vingine? Kama hii katiba haifuatwi na kutekelezwa, hiyo unayoipigia kelele itatekelezwa na kusimamiwa na malaika? Tatua kwanza issue ya kuiheshimu katiba iliyopo
 
Hivi wewe kweli huwa una akili! Katiba katiba! Hujui kuwa katiba ni kitabu kama Vitabu vingine? Kama hii katiba haifuatwi na kutekelezwa, hiyo unayoipigia kelele itatekelezwa na kusimamiwa na malaika? Tatua kwanza issue ya kuiheshimu katiba iliyopo

Utakuwa ni kada wa CCM Mpya inayoamini kuwa masuala nyeti kama afya-ya-umma yasiwepo katika katiba ambayo itawanaba viongozi wa chama chochote kitachokuwepo madarakani.

Hivyo chama kongwe kina amini masuala nyeti ya msingi ya raia wa Tanzania yawepo tu katika ilani / manifesto za uchaguzi zinazobadilika kila siku kutegemea na matamko ya viongozi wa vyama.
 
Utakuwa ni kada wa CCM Mpya inayoamini kuwa masuala nyeti kama afya-ya-umma yasiwepo katika katiba ambayo itawanaba viongozi wa chama chochote kitachokuwepo madarakani...
Umechanganyikiwa si bure! Kasome tena ujumbe wangu.
 
Umechanganyikiwa si bure! Kasome tena ujumbe wangu.

What does the Constitution say about water?

South Africa :
The right of access to sufficient water is accorded to everyone in s 27(1)(b) of the Constitution, which states that everyone has the right to have access to sufficient water. Water & Sanitation - South African Human Rights Commission.

Is public health a federal matter?
The US federal government acts in six main areas related to population health: (1) policy making, (2) financing, (3) public health protection, (4) collecting and disseminating information about U.S. health and health care delivery systems, (5) capacity building for population health, and (6) direct management of services.

What does the U.S. Constitution say about health?
Even though the U.S. Constitution does not explicitly set forth a right to health care, the Supreme Court's decisions in the areas of the right to privacy and bodily integrity suggest the Constitution implicitly provides an individual the right to access health care services at one's own expense from willing medical ...5 Apr 2010
 
Naona Mungu anafichua unafiki asante allah piga spana hivyo hivyo usilete mvua hadi mwakani tuone ujeuli wa binadamu unatoka wap na mito yote kausha kwa kasi ya 7g

Ameeen
Pic%20Layer_2021111311215721.jpg
 
Back
Top Bottom