Kwa miaka mitano tangu 2015 mpaka 2020, Maji na umeme hayakuwahi kukatika hovyo Dar na Jua lilikuwa kali sanaThis is a Public Health concern.
Yaani sisi tuna ifungua nchi wewe unasema tunafungua :harufu" utakuwa unataniaWatu wa Dar es Salaam, Mambo yamekuwa sio mambo, ni harufu kali na uchafuzi wa mazingira unatokana na uhaba wa maji
Familia zenye watu wengi ni shida na balaa, Watu wana nawa uso tu, nguo hazifuliwi zinanuka jasho...
Hivi wewe kweli huwa una akili! Katiba katiba! Hujui kuwa katiba ni kitabu kama Vitabu vingine? Kama hii katiba haifuatwi na kutekelezwa, hiyo unayoipigia kelele itatekelezwa na kusimamiwa na malaika? Tatua kwanza issue ya kuiheshimu katiba iliyopoNa bado hawa raia watasema hakuna haja ya katiba mpya na hawawezi kuona uhusiano wa katiba inayoibana serikali kuhakikisha huduma zinazogusa afya-ya-jamii (Public Health) zikitamkwa (proclaimed) katika katiba bila kujali vyama au itikadi...
Alikuwa hacheki na kima, wewe kata umeme bila sababu za msingi ndo utajua hujui!!Al maruhum JPM aliwezaji mambo haya!
Na aliyopo njombe anamshangaa pia...!Acha kugeneralize maeneo. Eti joto hili ni Tanzania nzima, aliyepo huko Kagera anakushangaa tu. Pitia hapa kidogo Mwanzo |Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania
Hivi wewe kweli huwa una akili! Katiba katiba! Hujui kuwa katiba ni kitabu kama Vitabu vingine? Kama hii katiba haifuatwi na kutekelezwa, hiyo unayoipigia kelele itatekelezwa na kusimamiwa na malaika? Tatua kwanza issue ya kuiheshimu katiba iliyopo
Umechanganyikiwa si bure! Kasome tena ujumbe wangu.Utakuwa ni kada wa CCM Mpya inayoamini kuwa masuala nyeti kama afya-ya-umma yasiwepo katika katiba ambayo itawanaba viongozi wa chama chochote kitachokuwepo madarakani...
Umechanganyikiwa si bure! Kasome tena ujumbe wangu.
Mungu ni pendo, yeye siyo Roho mbaya kila siku anatuwazia memaNaona Mungu anafichua unafiki asante allah piga spana hivyo hivyo usilete mvua hadi mwakani tuone ujeuli wa binadamu unatoka wap na mito yote kausha kwa kasi ya 7g
AmeeenView attachment 2020392