KERO Uhaba wa maji jijini Arusha

KERO Uhaba wa maji jijini Arusha

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Thomas Odera

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
673
Reaction score
154
Kuna tatizo la maji katika jiji la Arusha eneo la Njiro tangu jana mchana mpaka leo. Sijui kama ni kwa eneo ambalo nafanyia kazi au na maeneo mengi ya jiji.

Hebu mamlaka husika ilifanyie kazi.

cc Wizara ya Maji
 
Back
Top Bottom