Selemani Sele
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 319
- 711
Unatembea unasema daah vp.tena hizo tani kadhaa haijaingiaAisee
Its a damn worldHiyo ndio raha ya Demokrasia na maridhiano, kila kitu shaghala baghala
😂Mbna hukuniambiatuliwaambia mkabisha pambaneni wenyewe sasa
Ata elfu 4 man😂double the price is a heck of shitsafi sana, si mlitaka bei elekezi iwe sh. 3000 ?
Sukari imekamatwa na Chalamila anasema wanaingiza kimagendo kwa hio kaa kwa kutulia, km huamini Namba yake hii 0767 150 400 mpigie umuulize vizuri atakwambia yupo WhatsApp piaZa asubuhi,Wananchi wenzangu.
Leo katika mahangaiko naingia ofisini kariakoo nakuta hamna sukari, nikaingia mtaa wa pemba kwenye maduka ya jumla nipate hata sukari ya kuanzia wiki aisee nimekuja pata sukari soko la kisutu baada ya kutembea dk 45 .
Je sukari imeenda wapi na hiyo iliyoagizwa haijafika bado.
Waitaifishe waiuzeSukari imekamatwa na Chalamila anasema wanaingiza kimagendo kwa hio kaa kwa kutulia, km huamini Namba yake hii 0767 150 400 mpigie umuulize vizuri atakwambia yupo WhatsApp pia
Mpigie simu umwambie Si nimekupa Namba yake mtwangie mwambie 'waitaifishe waiuze' alafu msikilize anakwambia niniWaitaifishe waiuze
tatizo haukuwepo nilikutafuta sana selemani ulikua unavuta mirungi mishishaaa mibangi selemani😂Mbna hukuniambia