M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Hakuna haja ya utafiti ni jambo lililo wazi sasa kwamba biashara ya urembo kwa wanawake imepanuka sana kufuatia uhaba wa wanaume.
Wanawake wamekuwa wafuasi wazuri wa makorokocho kwenye miili yao ikiwa ni mpango babukubwa wa kuwavuta wanaume.
Kama mjasiliamali unashauriwa kuuza bidhaa za urembo za wanawake na kama mzazi panga kuzaa watoto wa kiume zaidi ili kuleta uwiano huko mbeleni na kuleta usawa kwa wote kivitendo.
Kwa wanawake,kama unataka kuwa katika ndoa ishi kiasili na epuka kuwa bendera fuata upepo kwa kila ulimbukeni wewe unaita fasheni,kama ilivyo kwa uzee au kifo,mitusi mizito mizito na kejeli za hapa na pale hazikwepeki 100%.
Kwa niaba ya watu M2WAWA2.
Wanawake wamekuwa wafuasi wazuri wa makorokocho kwenye miili yao ikiwa ni mpango babukubwa wa kuwavuta wanaume.
Kama mjasiliamali unashauriwa kuuza bidhaa za urembo za wanawake na kama mzazi panga kuzaa watoto wa kiume zaidi ili kuleta uwiano huko mbeleni na kuleta usawa kwa wote kivitendo.
Kwa wanawake,kama unataka kuwa katika ndoa ishi kiasili na epuka kuwa bendera fuata upepo kwa kila ulimbukeni wewe unaita fasheni,kama ilivyo kwa uzee au kifo,mitusi mizito mizito na kejeli za hapa na pale hazikwepeki 100%.
Kwa niaba ya watu M2WAWA2.