Singularity, BOOM! [emoji95] big bang, universe ikajengeka, solar system, dunia.Wadau naomba kuuliza kwa anayejua, uhai ulianzaje?
Kha!Singularity, BOOM!big bang, universe ikajengeka, solar system, dunia.
Duniani sasa kwenye maji seli moja ikatengenezeka, ika mutate kua seli nyingi. Mutations and mutations ndio tukawa na uhai huu... kiufupi!
Kwa mtizamo wangu lilianza yai. Sayansi inaonesha kwamba hata haya mayai ya kuku yaliyorutubishwa yakiwekwa kwenye sehemu yenye joto linalohitajika (37 hadi 38 celsius), mfano kwenye pumba za mpunga au mahindi, linajiangua ndani ya kipindi cha wiki tatu....Kuku na yai kipi kilianza kuwa na uhai?
Mmoja alisema, "nadharia ya uwepo wa Mungu ilikuja baada ya binadamu kushindwa kujibu baadhi ya maswali, likiwemo uhai ulianzaje"!Wanasema Mungu hayupo watupe jibu
Imeelezaje?Soma Biblia imeeleza
Singularity ilianzaje?Singularity, BOOM! [emoji95] big bang, universe ikajengeka, solar system, dunia.
Duniani sasa kwenye maji seli moja ikatengenezeka, ika mutate kua seli nyingi. Mutations and mutations ndio tukawa na uhai huu[emoji41]... kiufupi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi Mkuu, naona umeona isiwe tabu!!
Kwa kweli itabidi atuelezee vzr at least tupate mwanga tusiojuaSingularity ilianzaje?
Swala sio kutotolewa swala ni kuundwa kwa yai...Kwa mtizamo wangu lilianza yai. Sayansi inaonesha kwamba hata haya mayai ya kuku yaliyorutubishwa yakiwekwa kwenye sehemu yenye joto linalohitajika (37 hadi 38 celsius), mfano kwenye pumba za mpunga au mahindi, linajiangua ndani ya kipindi cha wiki tatu....
Ilikuepo tu... probably kuna universe nyingine huko. Au kuna universe nyingine inakua formed saiv out of singularity. Who knows?Singularity ilianzaje?
Ilikuwepo vipi yani sijaelewa yani from no where tu๐?Ilikuepo tu... probably kuna universe nyingine huko. Au kuna universe nyingine inakua formed saiv out of singularity.
Hapo ndipo sayansi inaishia na imani inapoanzia๐