Uhakiki vyeti ili kuomba mikopo ya HESLB unafanyika vipi?

Uhakiki vyeti ili kuomba mikopo ya HESLB unafanyika vipi?

sacred wall

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2017
Posts
804
Reaction score
1,322
Mwenye ufahamu wa namna ya kuhakiki vyeti ili kujitayarisha kuomba mikopo ya HESLB anisaidie process inafanyikaje na vyeti gani vinahakikiwa
 
Cheti cha kuzaliwa.

Ingia kwenye website ya RITA utapata muongozo kamili
 
Huwa wanaweka mfumo wa online kupitia website yao.

Je wameshatangaza kuanza kwa uhakiki?
 
Huwa wanaweka mfumo wa online kupitia website yao.

Je wameshatangaza kuanza kwa uhakiki?
yes wametagaza na wameshapokea maombi over 13,000 na kuhakiki over 7,000. Anyway ngoja niende kwenye internet cafes wanafanya kwa malipo, I do not have the way out!
 
yes wametagaza na wameshapokea maombi over 13,000 na kuhakiki over 7,000. Anyway ngoja niende kwenye internet cafes wanafanya kwa malipo, I do not have the way out!
Ok, fanya hivyo
 
Mwenye ufahamu wa namna ya kuhakiki vyeti ili kujitayarisha kuomba mikopo ya HESLB anisaidie process inafanyikaje na vyeti gani vinahakikiwa
Mkuu umefanikisha hili na umefanyeje,,
Na vit gani vngne muhim vinahitajika ukiwa unafanya maombi online..
I mean napokua pale najaza
 
Wakuu hivi unawez kuendelea na process za kuomba mkopo kama bado hujahakkiwa cheti rita
 
Wakuu hivi unawez kuendelea na process za kuomba mkopo kama bado hujahakkiwa cheti rita

Ndio ila ikifika mahala ambapo unatakiwa ufanye attachment ya icho cheti kilichohakikiw inabidi uweke icho, so be careful
 
Ndio ila ikifika mahala ambapo unatakiwa ufanye attachment ya icho cheti kilichohakikiw inabidi uweke icho, so be careful
Mkuu naomba nitajie attachment zote zinazotakiwa uapload wakati wakuomba mkopo
 
Mkuu naomba nitajie attachment zote zinazotakiwa uapload wakati wakuomba mkopo

Cheti kilichohakikiwa cha kuzaliwa
Cheti kilichohakikiwa cha kifo (kama kipo)
Copy ya kitambulisho cha mdhamini
Fomu ya sponsorship huko nyuma (kama uliwahi kuwa sponsored)
 
Cheti kilichohakikiwa cha kuzaliwa
Cheti kilichohakikiwa cha kifo (kama kipo)
Copy ya kitambulisho cha mdhamini
Fomu ya sponsorship huko nyuma (kama uliwahi kuwa sponsored)
Nashkuru mkuu kuna dogo nataka nimuombe mkopo yupo jeshini,,..
Sasa nataka nikikaa pale najaza izo attachment to upload niwe nazo zote,,..
Nimesubmitt cheti chake cha kuzaliwa rita nakisubiria ili niendele na mchakato..
 
Nashkuru mkuu kuna dogo nataka nimuombe mkopo yupo jeshini,,..
Sasa nataka nikikaa pale najaza izo attachment to upload niwe nazo zote,,..
Nimesubmitt cheti chake cha kuzaliwa rita nakisubiria ili niendele na mchakato..

Poa mkuu,
 
Back
Top Bottom