Uhakiki wa majaji hewa

Uhakiki wa majaji hewa

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Nakumbuka wakati wa Kikwete waliteuliwa majaji wengi kwa mkupuo kupunguza uhaba wa majaji. Watu walihoji sifa za hao majaji kupewa nafasi hizo kama wana sifa stahili. Kama kawaida, umwamba wa JK alipuuza. Hata lissu aliwahi kuhoji hilo.
Je Mtukufu Rais yuko tayari kufanya uhakiki wa Watukufu Majaji?
 
Back
Top Bottom