Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Wakuu JF,
Hivi kama Bunge la Katiba lina Mamlaka ya Kuja na Rasimu Mpya kabisa ya Katiba na kuifuta ile ya Tume ya Warioba hivi kulikuwa kuna uhalali gani wa Kuundwa kwa tume ya Warioba ?
Hivi Gharama zote iliyotumia tume ya Warioba Pamoja na weledi wao vije kumezwa kirahisi kabisa na Bunge la katiba lenye wabunge wengi wa CCM ambao wengine hawana hata Elimu ya Masuala ya Sheria na Katiba ?
Wa Tanzania naomba tuamke katika hili.
Gharama iliyotumia tume ya Warioba ni Bora ingeelekezwa kufanya Mambo mengine na Kazi yote ya Katiba kuchiwa Bunge la Katiba
Hivi kama Bunge la Katiba lina Mamlaka ya Kuja na Rasimu Mpya kabisa ya Katiba na kuifuta ile ya Tume ya Warioba hivi kulikuwa kuna uhalali gani wa Kuundwa kwa tume ya Warioba ?
Hivi Gharama zote iliyotumia tume ya Warioba Pamoja na weledi wao vije kumezwa kirahisi kabisa na Bunge la katiba lenye wabunge wengi wa CCM ambao wengine hawana hata Elimu ya Masuala ya Sheria na Katiba ?
Wa Tanzania naomba tuamke katika hili.
Gharama iliyotumia tume ya Warioba ni Bora ingeelekezwa kufanya Mambo mengine na Kazi yote ya Katiba kuchiwa Bunge la Katiba