Uhalifu na upotofu ''crime & deviance''

Uhalifu na upotofu ''crime & deviance''

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
14 April 2024

KUHUSU UHALIFU NA UPOTOFU ''Crime & Deviance''

Mchambuzi na mtafiti wa masuala mbalimbali ya kijamii mwana sociolojia Bw. Bituro Paschal Kazeri

View: https://m.youtube.com/watch?v=rcv2Gtibi-4

Ni kitu gani kisababisha uhalifu na upotofu katika jamii . Sheria hutengeneza kosa au uhalifu na kutoa adhabu, bila sheria hakuna uhalifu. Na sheria zote hutungwa na binadamu na hubadilika kutokana na nyakati. Uhalifu ni kitendo cha kuvunja sheria.

Fuatana nasi katika makala ya leo inayogusa uhalifu na upotofu. Fahamu ni kwanini baadhi ya watu katika jamii yetu hupotoka na kufanya uhalifu au ukaidi au kukengeuka ... dhidi ya utaratibu wa jamii husika katika nyakati husika ...... Na sababu tano zinazopelekea mtu kufanya uhalifu iwe rushwa n.k ni
  1. Maamuzi
  2. Tamaa
  3. Kudhibiti hapa kuna makosa mengi
  4. Kulipa kisasi
  5. Ushawishi na makundi / fursa

Source : sociology tanzania
 
Kwamba bila sheria hakuna uhalifu..????!!! 🤒 😎
 
14 April 2024

KUHUSU UHALIFU NA UPOTOFU ''Crime & Deviance''

Mchambuzi na mtafiti wa masuala mbalimbali ya kijamii mwana sociolojia Bw. Bituro Paschal Kazeri

View: https://m.youtube.com/watch?v=rcv2Gtibi-4

Ni kitu gani kisababisha uhalifu na upotofu katika jamii . Sheria hutengeneza kosa au uhalifu na kutoa adhabu, bila sheria hakuna uhalifu. Na sheria zote hutungwa na binadamu na hubadilika kutokana na nyakati. Uhalifu ni kitendo cha kuvunja sheria.

Fuatana nasi katika makala ya leo inayogusa uhalifu na upotofu. Fahamu ni kwanini baadhi ya watu katika jamii yetu hupotoka na kufanya uhalifu au ukaidi au kukengeuka ... dhidi ya utaratibu wa jamii husika katika nyakati husika ...... Na sababu tano zinazopelekea mtu kufanya uhalifu iwe rushwa n.k ni
  1. Maamuzi
  2. Tamaa
  3. Kudhibiti hapa kuna makosa mengi
  4. Kulipa kisasi
  5. Ushawishi na makundi / fursa

Source : sociology tanzania

Social deviance ni kitu ambacho jamii hawakitaki kifanywe.. yeyote anayefanya anaitwa deviant! Lakin pia crime ni same. Ila crime inatambulwa na Sheria, deviance inatambuliwa na moral code za utamaduni wa jamii husika.

Mifano umalaya sio crime Kwan hakuna Sheria inayosema mwanamke Malaya mtaani akamatwe na kupelekwa polisi. Ndo mana Malaya wanajajiwa kwa tamaduni zetu, yani hWajistiri na ushenzi. Ukahaba ndio Koda kisheria, devianc ni dhana ya mwanasosioloji mmoja anayezubgumzia society/structure anaitwa Weber kama sikosei
 
CCM kutamani kufanya uhalifu kwa kutishia kuzima maandamano ni uhalifu kwa kutaka kudhibiti maandamano yaliyoruhusiwa kikatiba

Kinana: Rais Samia ndio ameleta uhuru nchini sasa hivi, akisema kuanzia leo Mei 5, 2024 hakuna maandamano itakuwa nini?​

1714916072541.png


Haki ya maandamano iliyopo katika sheria na katiba ya Tanzania siyo uhalifu

1714916219710.png
 
Back
Top Bottom