Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Jan 7, 2016 #1 Nimekua nikifuatilia sana hizi zinazoitwa dakika za nyongeza sioni uhalisia wake maana mpira unakufa muda mwingi sana lkn dk zinakua chache natambua [rerogative ya refarii kwa sasa lkn sidha i kama wana uhakika sidhani kama kuna saa muafaka ya kuzihesabu ...................................................
Nimekua nikifuatilia sana hizi zinazoitwa dakika za nyongeza sioni uhalisia wake maana mpira unakufa muda mwingi sana lkn dk zinakua chache natambua [rerogative ya refarii kwa sasa lkn sidha i kama wana uhakika sidhani kama kuna saa muafaka ya kuzihesabu ...................................................
cnjona JF-Expert Member Joined Mar 24, 2014 Posts 1,027 Reaction score 239 Jan 7, 2016 #2 Dakika za nyongeza ni ulaya hapa bongo zinaitwa dakika za mwamuzi. hivyo anaweza kuongeza vyovyote atakavyo.
Dakika za nyongeza ni ulaya hapa bongo zinaitwa dakika za mwamuzi. hivyo anaweza kuongeza vyovyote atakavyo.
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Jan 7, 2016 Thread starter #3 nadhani wanabahatisha zaidi cnjona said: Dakika za nyongeza ni ulaya hapa bongo zinaitwa dakika za mwamuzi. hivyo anaweza kuongeza vyovyote atakavyo. Click to expand...
nadhani wanabahatisha zaidi cnjona said: Dakika za nyongeza ni ulaya hapa bongo zinaitwa dakika za mwamuzi. hivyo anaweza kuongeza vyovyote atakavyo. Click to expand...