Hao walimu hata serikali iwape m2 net kwa mwezi bado wanafunzi watafeli tu.Sababu za kufeli wanafunzi wa kidato cha nne ni zaidi ya mgomo wa walimu (kama kweli upo).
Mgomo upo,tena umekommaa, kama si kushika kazi. Juulize,
1. Ni kwa kiasi gani walimu wanatumia muda wao kufuatilia maendeleo ya kielimu ya wanafunzi wao?
2.Ni mazoezi mangapi na test ngapi walimu wanatoa kwa wanafunzi wao?
3. Fanya utafiti,hata hao walimu wakitoa test na mazoezi yanakuwa ya masuali mangapii?
4.Ni kwa kiasi gani walimu wanaandaa vipindi?, hawana muda huo.
5.Ni vitu gani walimuwanafundisha darasani, na kwa unani upi au ufasaha upi?
6. Kumbuka walimu hao ndio walewale wanaofundisha St.Fransis au Marian.
7.Ni mwalimu gani leo anajihangahisha kufuatilia maadili ya mwanafunzi. Leo hii mwanafunzi akisililiza muzilki darazani-mwalimu sawa tu!!, Mwanafunzi asipofanya mwaswali - Mwalimu anashukuru na kufurahi.
Tafakari hayo, tutaendelea