Uhalisia wa taifa la Israeli

well said Brother
 
Wapalestina wachokozi wacha watwangwe. Kilasiku kurusha makombora kwa wenzao ila wakijibiwa kidogo tu wanalia kuonewa. Waache uchokozi
 
Umewezaje kuamini maandishi haya na yale mengine ukaona hayafai na niyauongo?
 
Usiamini vitabu kama quran huwa ni vitabu potofu.
 
Wapalestina wachokozi wacha watwangwe. Kilasiku kurusha makombora kwa wenzao ila wakijibiwa kidogo tu wanalia kuonewa. Waache uchokozi
Tusipende kuongea mambo tusiyofahamu..... Unafahamu chanzo cha mgogoro?? Unajua kuwa ardhi ilikuwa imegawiwa kwa uwiani wa 55:45 ila inafahamu leo Hii Israel ana ratio zaidi ya 80:20!!

Unaelewa kwamba anakalia kimabavu ardhi za nchi zingine kama golan heights (syria),west bank (jordan)?? Suluhisho ni Israel abaki na mipaka yake ya 1948 hutosikia kelele wala makombora.

Hivi unafahamu palestina imegawiwa nusu?? Yaani mfano kutoka dar ili ufike kigoma ni lazima uvuke ndani ya nchi nyingine kwanza?? Tena mpaka wakuidhinishe?? Hivi unafahamu kuna wapalestina zaidi ya 3 million wako uhamishoni hasa marekani ya kusini na Asia wamezuiwa kurudi palestina kisa wanahofu wataimeza israel?? Hivi unafaham Gaza ndio eneo lenye msongamano wa watu wengi kuliko jiji lolote lile duniani!! Hivi unafahamu hata umeme na maji yanapatikana mpaka Israel aamue.... Yaani hakuna siku umeme umewaka Gaza kwa masaa 24 haipo!!!

Kama hufahamu suffering ya watu wa palestina huwezi kuelewa hicho wanachofanya ni sawa na kushangaa kwanini Mandela alikuwa akituma vikosi kuvamia wazungu?? Au kenya kutumia maumau kumshambulia mzungu.

You know nothing about their suffering, so huwezi ona chochote kizuri kuhusu palestina..... Kama unachangia huu uzi na humjui Folke Bernadotte basi una haki ya kuongea chochote unachojisikia.
 
Usiwaangalie wa misri wa sasahv kwani ndivyo walivyokuwa miaka zaidi ya 2000 iliyopita? Soma biblia inawazungumziaje wamisri wa kipindi kile jitahidi kuchunguza nilichokiandika na ukitafakari kwa maandiko!
umeelezea point nzuri ndugu ila naona mapungufu yapo kidogo. kwa mfano, kama unaona wamisri wanaweza badilika ndani ya 2000 years kwa nin wayahudi wasibadilike?

unajua inachukua vizazi vingapi kupoteza race kabisa? vinne bro. mfano ukioa mzungu leo, mwanao nabadilika kidogo, yeye naye akioa mzungu mjukuu anazidi kupoa kwenye uafrica. mpaka kizazi cha nne huwezi kumbuka.

hutaamini, ila nikuulize unajua kuwa Ryan giggs baba yake ni ''black''. siyo black yetu ila ni kama generation ya pili. Embu muangalie giggs si mzungu kabisa. unaonaje watoto wake.

nikuulize swali, kuna generations ngapi tangu 2000 years ago. at least 20. mtu anapotea kabisa.

maelezo yangu hayapingi kuwa bible hebrews sio weusi la hasha. naamini jesus was very dark. ila who is to say hao wayahudi waliokimbilia ulaya wawe weusi kama mimi jaman hiyo siyo realistic hata kidogo.
 
Uongo
 
Wapalestina wachokozi wacha watwangwe. Kilasiku kurusha makombora kwa wenzao ila wakijibiwa kidogo tu wanalia kuonewa. Waache uchokozi
Hata Wabantu walikuwa wachokozi kwa Makaburu.... Au ?
 
Haipotei kaka, hata kizazi cha nane itatokea tu, mfano mzuri hawa warabu wa kwetu, wengine utawakuta weupe na weusi familia moja, baba mmoja mama mmoja , sio kwa kuhaditjiwa ila kwa kuona Mimi mwenye.
 
Good point but,mbona Yesu hakubadirika na alikuwa ni kizazi Cha 42 tangu kwa Abraham (mathayo 1:1-17)???
Wayahudi wale wale wa kile kipindi Cha utumwa misri ndio hao hao walikuwa kipindi Cha Yesu mbona hawakuwa wamebadirika??
 
Haipotei kaka, hata kizazi cha nane itatokea tu, mfano mzuri hawa warabu wa kwetu, wengine utawakuta weupe na weusi familia moja, baba mmoja mama mmoja , sio kwa kuhaditjiwa ila kwa kuona Mimi mwenye.
ndugu, biolojia hairuhusu hayo unayosema mzee. iwapo umezaa na mzungu. watoto wako wakawa chotara ila badala ya kuoa wazungu kama nilivyosema wakaendelea kuoa weusi. baada vizazi vinne na kuendelea hawezi kamwe kuja kutokea mzungu. Genetics haziruhusu jamaa yangu. hapo ulipo inawezekana babu yako mzaa babu mzaa babu alikuwa mwarabu wa enzi za meno ya tembo ila kamwe hutokuja kuzaa mwarabu bila mzazi mwenzio kua mwarabu.
 
Good point but,mbona Yesu hakubadirika na alikuwa ni kizazi Cha 42 tangu kwa Abraham (mathayo 1:1-17)???
Wayahudi wale wale wa kile kipindi Cha utumwa misri ndio hao hao walikuwa kipindi Cha Yesu mbona hawakuwa wamebadirika??
ni kweli Yesu hakubadilika ila sababu ni tofauti kidogo. sheria ya Musa kama unakumbuka vizuri ilimlazimu muisrael kuoa muisrael mwenzie la sivyo unatengwa au kuadhibiwa. Ndio maana Musa alionekana kavunja sheria na kina miriam alipooa binti wa kimidiani aitwaye zipphora. Miriam aliishia kupigwa ukoma na Mungu.

tuangalie Mfano halisi. WAHINDI wa Tanzania.

kuna watanzania wangapi wameoa wahindi wa hapa bongo? unadhani hawawezi kwa sababu ya pesa au dini? No. unajua wanamfanya nn yule msichgana akimpenda mbongo?

ndio maana wahindi wanabaki na uhindi wao.

kuhusu wayahudi wa sasa. Sina hakika kama kama ni wale walioondoka ila sio rahisi pia kusema sio wale.


Imagine. Eti Beyonce kwa marekani anakuwa considered black. let that sink in for a second.
 
Kama baiolojia haikubali , Basi ila mifano naijua na ipo kabisa, NON SCOLAE DISCIMUS...
 
Asante kw Bandiko Murua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…