Unko T
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 200
- 266
Tangu juma lililopita nimekuwa nikifuatilia passport yangu idara ya uhamiaji Dar es Salaam, iliyopo ndini ya ofisi za Mambo ya Ndani ya Nchi. Napewa jibu rahisi sana na afisa aliyekaa nje ya mlango wa kuingilia ofisi hizo, "Hakuna network ya TTCL hivyo hatuwezi kuona passport yako"
Nikajiuliza inamaana kwa wiki nzima hakuna aliyefikiria njia mbadala ya kuhudumia wateja/watanzania hata kama hiyo "network" ya TTCL haipo?
MAZINGIRA YA RUSHWA
Kuna mchezo nimeshuhudia, afisa anataka umuombe namba, um'pigie, akuulize majina yako matatu, UTOE RUSHWA, akutafutie passport yako ambayo utapewa kwa siri na wasaidizi/wahudumu wa usafi wa ofisi zao wenye tisheti/formsix/polo za blue zenye logo ya M.
Tafadhali wahusika rudisheni huduma ya kutoa passport za wateja tenu na ouache kutengeneza mazingira ya RUSHWA eti hakuna "network" ya TTCL. Watu gani msiokuwa wabunifu kutatua changamoto za mnaowahudumia?
Naomba TAKUKURU wafanyie uchunguzi madhila haya kwa maslahi mapana ya Tanzania.
Nikajiuliza inamaana kwa wiki nzima hakuna aliyefikiria njia mbadala ya kuhudumia wateja/watanzania hata kama hiyo "network" ya TTCL haipo?
MAZINGIRA YA RUSHWA
Kuna mchezo nimeshuhudia, afisa anataka umuombe namba, um'pigie, akuulize majina yako matatu, UTOE RUSHWA, akutafutie passport yako ambayo utapewa kwa siri na wasaidizi/wahudumu wa usafi wa ofisi zao wenye tisheti/formsix/polo za blue zenye logo ya M.
Tafadhali wahusika rudisheni huduma ya kutoa passport za wateja tenu na ouache kutengeneza mazingira ya RUSHWA eti hakuna "network" ya TTCL. Watu gani msiokuwa wabunifu kutatua changamoto za mnaowahudumia?
Naomba TAKUKURU wafanyie uchunguzi madhila haya kwa maslahi mapana ya Tanzania.