Elections 2015 Uhamiaji kuchunguza uraia wa Zitto

zzk jamaa anaelement za kuwagawa watanzania rejea kauli zake wakati ananadi chama chake na azimio la tabora akiwa tabora.pia akiwa tanga anawashawi kuhusu mashamba ya mkonge.

Atajibeba, na hivi mama hayupo walao angemtetea.
Naakubaliana na wewe kuwa ni mchonganishi wa kufa mtu ila serikali huwa inammezea kutokana na u agent wake, la ingekuwa ni kile chama kinachotibua nyongo ya CCM kelele isingevumilika
 
 
Mbona hata Karume asili yake ni Msumbiji na bibi yake chotara wa kisumbiji na Oman, pia Magufuli asili yake ni Rwanda kabila ya Hutu, mama yake ni chotara wa kisukuma na bukoba, pia mimi...
 
Mbona hata Karume asili yake ni Msumbiji na bibi yake chotara wa kisumbiji na Oman, pia Magufuli asili yake ni Rwanda kabila ya Hutu, mama yake ni chotara wa kisukuma na bukoba, pia mimi...
Hapo kwa Karume rekebisha sio Msumbiji ni Malawi
 
kwa nini iwe wanaKigoma tuu ilhali mikoa ipo mingi ya mpakani
 
Usiniambie mkuu ??
 
Ni mkongo au mburundi au Tanzania?? I am confused.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…