mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Akishafika kwenye nafasi za juu kabisa za Uongozi sidhani kama atataka kuisaliti Nchi iliyompa hayo mema ilihali anajua yeye hapo ndipo atakapoishi maisha yake yote mpaka kifo kimkute !Vipi wahamiaji haramu, point ya CDF ipo kwa wahamiaji haramu kuteuliwa kwenye nafasi za kimaamuzi.........
Je, hao walioomba uraia hawawezi kubaki na elements za asili walikotoka na potentially wakawa tishio la usalama wa nchi pale wanapoingia kwenye nafasi nyingi za kimaamuzi ikiwemo ubunge, uwaziri na nafasi nyeti kama TISS, JWTZ, Uhamiaji, NIDA, kimkakati zaidi?
Huku Barani kwetu watu hawawapendi watu wao kihivyo unavyojaribu kufikiria. !
Angalia baadhi yao huwa wanaziibia Nchi zao za mababu na mabibi zao na kuziweka pesa zao Ughaibuni !!
Iko vile watu wanataka kujilimbikizia sio kuzisaliti Nchi wanazoishi na vizazi vyao !!
Labda wale wenye nyadhifa za chini na renki za chini chini sio zile za juu !!