Duuh!!It's not there mother tongue,and last time I checked,Fluence in English isn't a cliteria in employment
Just wondering.. what is 'cliteria' [emoji848]It's not there mother tongue,and last time I checked,Fluence in English isn't a cliteria in employment
najua hawa polisi hamna kitu ,swali lilisemajeWadau ni nini kifanyike kuwaondoa hawa maafisa wa uhamiaji hasa walioko mipakani wanaoongea kiingereza cha kuvunjika vunjika
Nimesikitishwa sana na nilichokishuhudia leo kutoka kwa afisa wa uhamiaji aliyeshindwa kuelewa swali dogo tu kutoka kwa mtalii liloulizwa kwa kiingereza cha std3
Wadau ni nini kifanyike kuwaondoa hawa maafisa wa uhamiaji hasa walioko mipakani wanaoongea Kiingereza cha kuvunjika vunjika
Nimesikitishwa sana na nilichokishuhudia leo kutoka kwa afisa wa uhamiaji aliyeshindwa kuelewa swali dogo tu kutoka kwa mtalii liloulizwa kwa Kiingereza cha std3
Kwa kweli hata mimi sikulielewa kiingereza cha mtalii kilikua kigumu![emoji38]
Wageni = Foreigners. 🤣 🤣Aiseee sasa hapo ina maana gani si bora wangeandika dipolamats only au walimaanisha nini?
Watalii wote si waingereza au nae mtalii alichanganya na kirenoKwa kweli hata mimi sikulielewa kiingereza cha mtalii kilikua kigumu![emoji38]
Kiswa Kinge.
Kiingereza kigumu Sana Sasa hapa n THEIR au THEREIt's not there mother tongue,and last time I checked,Fluence in English isn't a cliteria in employment
Unazani ni kosa lake basi,ni mfumo mkuu:huyo alisoma english kwa kiswahili,na alisoma kuanzia darasa la nne.hakupanda school bus.wa hivyo tunao wengi hadi maprofesor,wanaandika vizuri sana,lakini spoken english ni changamoto kubwa.Amini hii,umfuatilie tuu hata waziri mwenyewe dhamana ya elimu utathibitisha hiiWadau ni nini kifanyike kuwaondoa hawa maafisa wa uhamiaji hasa walioko mipakani wanaoongea Kiingereza cha kuvunjika vunjika
Nimesikitishwa sana na nilichokishuhudia leo kutoka kwa afisa wa uhamiaji aliyeshindwa kuelewa swali dogo tu kutoka kwa mtalii liloulizwa kwa Kiingereza cha std3
Kiingereza kigumu Sana Sasa hapa n THEIR au THERE
There mother?...or.. their mother?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Walipaswa kuandika visitors au guests badala ya foreignersAiseee sasa hapo ina maana gani si bora wangeandika dipolamats only au walimaanisha nini?