Nimeshangazwa na mchango wa madawati Uhamiaji Sekondari kwa wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza, kwani nilitegemea shule zote za Dar zilishapewa madawati ya kutosha. Hebu mwenye undani wa jambo hili atujuze.
umasikini mmbaya sana, pesa ya dawati tu inakutoa roho, na upo mjini, je wa kijijin wasemeje. tafuta pesa mkuu. samahan lakini kama manen yangu yamekukeraaa
umasikini mmbaya sana, pesa ya dawati tu inakutoa roho, na upo mjini, je wa kijijin wasemeje. tafuta pesa mkuu. samahan lakini kama manen yangu yamekukeraaa