Uhamisho kwa watumishi wa Serikali za Mitaa, July 2015

Nimeenda halmashauri leo kufatilia barua ya uhamisho.
Afisa akaniambia kuwa bado hazijafika sasa mwenye taarifa barua zitafika lini atujuze
 
Mara nyingi ni baada ya wiki 2 tangu majina yatoke
 
Jamani barua mbona hazifiki halmashari duh!
Inamaana jmn ndy mpk mwez wa nane tena mm nilivyochoka kwanza hta hamu ya kufundisha sina ..nombeni msaada wa jinsi barua ya kufunga data sheet invyondikwa n adress zake..plz.
 
Barua nenda masijala ya ulipoajiliwa, zitakuwepo. Maeneo mengi zimeshafika
 
Uhamisho wa ndani upo handled ndani na sio tamisemi. Huo bila shaka utakuwepo
 
Jamn ivi kuna awamu ya pili ndan ya mwez uu au ndo ukikosa nw ni adi january.?!

Waweza omba uhamisho wa dharura, huo unatoka muda wowote unapokamilisha maombi. Sio lazima July au January tuu
 
Waweza omba uhamisho wa dharura, huo unatoka muda wowote unapokamilisha maombi. Sio lazima July au January tuu

Huo wa dharura vigezo vyake ni kama huu mwingine.halafu hiv mtu ukihamia halmashauri nyingine unaweza kuomba kusoma ht kama hujaitumikia kwa mwaka?
 
Huo wa dharura vigezo vyake ni kama huu mwingine.halafu hiv mtu ukihamia halmashauri nyingine unaweza kuomba kusoma ht kama hujaitumikia kwa mwaka?

Uhamisho wa dharura hauna tofauti na huu wa kawaida, ukielewana kisababu na afisa elimu wako basi anakuombea. Taratibu za ruhusa ya kusoma nadhani taratibu zake ziko wazi. Serve for at least 3 years then apply for the opportunity for.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…