Uhamisho wa kijana kutoka shule za kutwa (Kata) kwenda shule maalumu.

charrote

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
1,848
Reaction score
4,146
Wakuu habari za muda huu.
Nina kijana mtoto wa ndugu yangu yuko kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Serikali (Kata), nahitaji kumuhamisha kwenda shule za vipaji maalumu za Serikali mfano ilboru, tabora boys, kibaha boys nk. Naomba kwa yeyote mwenye kufahamu utaratibu anisaidie .Kijana alikuwa na ufaulu wa daraja A.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ngumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…