Ndugu wana JF.
Naombeni msaada wenu kwa ajili ya kumuhamisha ndugu yangu toka shule ya day kwenda boarding na sababu ya msingi ni matatizo ya kifamilia, amekosa msaada kwa ndugu zake wa damu kiasi ambacho kwa sasa hata salamu hawataki na inamuwia vigumu kuendelea na masomo yake katima mazingira hayo, kwa kuzingatia umuhimu wa elimu nimeamua kuchukua jukumu la kumsimamia lakini naomba msaada wa kuweza kupata shule ya boarding ili apate kutulia na kuweza soma kwa amani!
AHSANTENI SANA WADAU
Naombeni msaada wenu kwa ajili ya kumuhamisha ndugu yangu toka shule ya day kwenda boarding na sababu ya msingi ni matatizo ya kifamilia, amekosa msaada kwa ndugu zake wa damu kiasi ambacho kwa sasa hata salamu hawataki na inamuwia vigumu kuendelea na masomo yake katima mazingira hayo, kwa kuzingatia umuhimu wa elimu nimeamua kuchukua jukumu la kumsimamia lakini naomba msaada wa kuweza kupata shule ya boarding ili apate kutulia na kuweza soma kwa amani!
AHSANTENI SANA WADAU