Uhamisho wa mwanafunzi

makua

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2013
Posts
208
Reaction score
39
Habar zenu,
Ndugu yangu kapangiwa aanze kidato cha kwanza shule flani ya kata, sasa mimi ninampango wa kumuhamisha na nimpeleke shule ya bweni.

Ni hatua gani nizifuate ili nimhamishe kabla ya kuanza masomo? Au baada ya mda gani ndipo nifanyemchakato huo?

Ahsante
 
Nenda halmashauli kwanza kabla ya yote kwa hapo alipo kwanza na mambo mengine baadae sana
 
tafuta xcul kwnz uliyoplan kumuhamishia then uwe na 7b za mcng ili uende alikochaguliwa ukaichukue 4m ya uhamishe
NB: form hyo inajieleza yenyewe ukishaipata
thnx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…