N Negative 1 Senior Member Joined Aug 26, 2013 Posts 133 Reaction score 4 Aug 31, 2013 #1 Hi wanajf, msaada kwa hili jamani, hivi inawezekana kwa mtumishi km mwl hiv mwanamme wa ndoa kuhama kumfuata mkewe wa ndoa tanzania hii?
Hi wanajf, msaada kwa hili jamani, hivi inawezekana kwa mtumishi km mwl hiv mwanamme wa ndoa kuhama kumfuata mkewe wa ndoa tanzania hii?
M Molembe JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 9,917 Reaction score 11,801 Aug 31, 2013 #2 Inawezekana mkuu.
TUKUTUKU JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 11,763 Reaction score 4,041 Aug 31, 2013 #3 Why not?Serikali haina kizuizi,issue ni maneno ya mtaani!
N Negative 1 Senior Member Joined Aug 26, 2013 Posts 133 Reaction score 4 Sep 1, 2013 Thread starter #4 TUKUTUKU said: Why not?Serikali haina kizuizi,issue ni maneno ya mtaani! Click to expand... Asanteni Tukutuku na Molembe nikikwama ntawa pm mnisaidie, japo wazushi wanasema serikali inaruhusu mwanmke tu.
TUKUTUKU said: Why not?Serikali haina kizuizi,issue ni maneno ya mtaani! Click to expand... Asanteni Tukutuku na Molembe nikikwama ntawa pm mnisaidie, japo wazushi wanasema serikali inaruhusu mwanmke tu.