Uhandisi ndiyo fani pekee duniani inayotoa majibu halisi kwa walaji tofauti na udaktari ambao umeshindwa kuichambua chanjo ya COVID-19 ieleweke

Uhandisi ndiyo fani pekee duniani inayotoa majibu halisi kwa walaji tofauti na udaktari ambao umeshindwa kuichambua chanjo ya COVID-19 ieleweke

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design) ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam!

Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado wako nyuma kuliko tulivyoaminishwa!

Mwanzo nilipokuwa nikisikia kuwa watafiti bingwa wa afya wapo maabara kutafiti mambo mbalimbali.

Niliamini kuwa kwa ukubwa wa teknolojia kwenye fani ya udakitali kamwe haitakuja kuwa na mkanganyiko wa majibu katika jambo moja la afya.

Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!

Ujio wa corona umekuja kuprove wrong kuhusu hili.

Nimegundua kwamba fani hii ya udakitali na chanjo duniani huenda iko nyuma (out of date) kwa zaidi ya miaka 20 nyuma!

Nasema hivi kwasababu kwenye suala la corona wamegeuka wapiga ramli, wamekuwa kama hawakuwemo maabara kama tulivyoaminishwa.

Kwenye ugonjwa huu wa corona umenifanya niwaze huenda hawa wapiganaji wa afya walituaminisha wapo mazoezini kumbe walivaa kombati za jeshi halafu wakabweteka kufuta buibui na usafi wa maabara badala ya kujikita kufanya utafiti.

Pia kuna wakati naamini huenda mifumo rasmi ya ajira imekumbatia watu wasiyo na uwezo kwa kuangalia vyeti vya taaluma za kubumba pekee, huku ikiwatupa inje ya mfumo watu wenye uwezo mkubwa ambao wamechukuliwa na waasi kiasi cha kutengeneza kirusi kimkakati wa kibiashara (kujiajiri au kulipwa na genge la waharifu)

Nasema hivyo kwasababu mabingwa wa afya wameonekana kufeli pakubwa kwa kujificha kwenye PHASE za corona kuzipa namba na majina tofauti

Hawako bayana katika maelezo yao! Wamejificha kwenye kivuli cha series za corona!

Nawafananisha na mtu ambaye anaelala kwenye nyumba yenye makorokoro mengi, akaingiliwa na nyoka! Kwasababu hana dhana na mafunzo ya kumuondoa basi kila siku atutangazie kuwa kaona nyoka mwingine wakati ni yuleyule mmoja anaetembea chumbani na kuongezeka ukubwa!
 
Me mbona nimegundua mda kwamba udaktari ni creaming tu, hamna cha ziada, na zaidi ya hayo gambling imetawala katika udaktari na utabibu
 
Misamiati yao migumu usishangae unakutana na neno Zongomela mysisi jibuti
 
Nyie Ongeeni Lakini mwisho wa siku Mkiumwa mnawakimbilia Hao hao kwenye Hospitali...... ! CORONA wanailia timing watakuja na solution.
 
Nyie Ongeeni Lakini mwisho wa siku Mkiumwa mnawakimbilia Hao hao kwenye Hospitali...... ! CORONA wanailia timing watakuja na solution.
Sawa lakini kipimo sahihi ni kutoa majibu sahihi kwa wakati
 
Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design)

Ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam!

Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado wako nyuma kuliko tulivyoaminishwa!

Mwanzo nilipokuwa nikisikia kuwa watafiti bingwa wa afya wapo maabara kutafti mambo mbalimbali.

Niliamini kuwa kwa ukubwa wa teknolojia kwenye fani ya udakitali kamwe haitakuja kuwa na mkanganyiko wa majibu katika jambo moja la afya.

Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!

Ujio wa corona umekuja kuprove wrong kuhusu hili!
Nimegundua kwamba fani hii ya udakitali na chanjo duniani huenda iko nyuma (out of date) kwa zaidi ya miaka 20 nyuma!

Nasema hivi kwasababu kwenye suala la corona wamegeuka wapiga ramli, wamekuwa kama hawakuwemo maabara kama tulivyoaminishwa!

Kwenye ugonjwa huu wa corona umenifanya niwaze huenda hawa wapiganaji wa afya walituaminisha wapo mazoezini kumbe walivaa kombati za jeshi halafu wakabweteka kufuta buibui na usafi wa maabara badala ya kujikita kufanya utafiti!

Pia kuna wakati naamini huenda mifumo rasmi ya ajira imekumbatia watu wasiyo na uwezo kwa kuangalia vyeti vya taaluma za kubumba pekee, huku ikiwatupa inje ya mfumo watu wenye uwezo mkubwa ambao wamechukuliwa na waasi kiasi cha kutengeneza kirusi kimkakati wa kibiashara (Kujiajiri au kulipwa na genge la waharifu)!

Nasema hivyo kwasababu mabingwa wa afya wameonekana kufeli pakubwa kwa kujificha kwenye PHASE za corona kuzipa namba na majina tofauti,
hawako bayana katika maelezo yao! Wamejificha kwenye kivuli cha series za corona!

Nawafananisha na mtu ambaye anaelala kwenye nyumba yenye makorokoro mengi, akaingiliwa na nyoka! Kwasababu hana dhana na mafunzo ya kumuondoa basi kila siku atutangazie kuwa kaona nyoka mwingine wakati ni yuleyule mmoja anaetembea chumbani na kuongezeka ukubwa!
Udaktari na uhandisi zote ni taaluma zinazodepend on science kufanya implementation na kuleta tija kwa watu utofauti wake ni kwamba science ya udaktari inacomplication katika majaribio yake ukicompare na sciences za uhandisi kwa kuwa science ya afya sometimes inadeal na viumbe hai ambavyo kubadili nature au tabia(Different response on same action) inawezekana, hivyo huweza kusababisha study kuyumba/kuwa na case nyingi za kustudy kwa sababu various change of results observed hivyo huitaji muda mrefu kupata exactly results za case husika (kumbuka kudeal na kitu kilicho hai na sometimes kinabehave kama si hai is not same as kudeal kisicho na uhai moja kwa moja)..Pili test za uhandisi haziathiri jamii moja kwa moja kwa kuwa zinavyotestiwa huwa things( not alive) hata vikifail no one cares hivyo hutoa wigo mpana mtu kufanya many tests as possible mpk wapate reliable outcomes hii kwa afya inachangamoto kidogo ukizingatia test huusisha viumbe hai.
 
Udaktari na uhandisi zote ni taaluma zinazodepend on science kufanya implementation na kuleta tija kwa watu utofauti wake ni kwamba science ya udaktari inacomplication katika majaribio yake ukicompare na sciences za uhandisi kwa kuwa science ya afya sometimes inadeal na viumbe hai ambavyo kubadili nature au tabia(Different response on same action) inawezekana, hivyo huweza kusababisha study kuyumba/kuwa na case nyingi za kustudy kwa sababu various change of results observed hivyo huitaji muda mrefu kupata exactly results za case husika (kumbuka kudeal na kitu kilicho hai na sometimes kinabehave kama si hai is not same as kudeal kisicho na uhai moja kwa moja)..Pili test za uhandisi haziathiri jamii moja kwa moja kwa kuwa zinavyotestiwa huwa things( not alive) hata vikifail no one cares hivyo hutoa wigo mpana mtu kufanya many tests as possible mpk wapate reliable outcomes hii kwa afya inachangamoto kidogo ukizingatia test huusisha viumbe hai.
Uliwahi kuwaza kupaa hewani na ndege? Ulishawahi waza magorofa marefu yanavyogharimu uhai? Wahandis kila mahali wamekuja na solution ya uhakika,
Sasa why madakitali wanakinzana kwenye chanjo kama wako makini?
 
Uliwahi kuwaza kupaa hewani na ndege? Ulishawahi waza magorofa marefu yanavyogharimu uhai? Wahandis kila mahali wamekuja na solution ya uhakika,
Sasa why madakitali wanakinzana kwenye chanjo kama wako makini?
Magorofa marefu yanagharimu uhai during construction not during designing or testing of designing philosophy ...ni ajali during construction au kazi yeyote ni kitu cha kawaida
 
Hii inatokana na uwezo wa kusolve math,daktari anasoma BAM engineer anasoma Advanced Math
 
Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design)

Ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam!

Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado wako nyuma kuliko tulivyoaminishwa!

Mwanzo nilipokuwa nikisikia kuwa watafiti bingwa wa afya wapo maabara kutafti mambo mbalimbali.

Niliamini kuwa kwa ukubwa wa teknolojia kwenye fani ya udakitali kamwe haitakuja kuwa na mkanganyiko wa majibu katika jambo moja la afya.

Ilifika mahali nilidhania kwamba mabingwa wetu wa afya wamemaliza kila kitu kuhusu mwili wa binadam nikiamini kilichowashinda ni kutengeneza roho tu!

Ujio wa corona umekuja kuprove wrong kuhusu hili!
Nimegundua kwamba fani hii ya udakitali na chanjo duniani huenda iko nyuma (out of date) kwa zaidi ya miaka 20 nyuma!

Nasema hivi kwasababu kwenye suala la corona wamegeuka wapiga ramli, wamekuwa kama hawakuwemo maabara kama tulivyoaminishwa!

Kwenye ugonjwa huu wa corona umenifanya niwaze huenda hawa wapiganaji wa afya walituaminisha wapo mazoezini kumbe walivaa kombati za jeshi halafu wakabweteka kufuta buibui na usafi wa maabara badala ya kujikita kufanya utafiti!

Pia kuna wakati naamini huenda mifumo rasmi ya ajira imekumbatia watu wasiyo na uwezo kwa kuangalia vyeti vya taaluma za kubumba pekee, huku ikiwatupa inje ya mfumo watu wenye uwezo mkubwa ambao wamechukuliwa na waasi kiasi cha kutengeneza kirusi kimkakati wa kibiashara (Kujiajiri au kulipwa na genge la waharifu)!

Nasema hivyo kwasababu mabingwa wa afya wameonekana kufeli pakubwa kwa kujificha kwenye PHASE za corona kuzipa namba na majina tofauti,
hawako bayana katika maelezo yao! Wamejificha kwenye kivuli cha series za corona!

Nawafananisha na mtu ambaye anaelala kwenye nyumba yenye makorokoro mengi, akaingiliwa na nyoka! Kwasababu hana dhana na mafunzo ya kumuondoa basi kila siku atutangazie kuwa kaona nyoka mwingine wakati ni yuleyule mmoja anaetembea chumbani na kuongezeka ukubwa!
Kuna hawa Biomedical Engineers nao bado wamelala kabisa kwenye vifaa tiba unakuta vinasoma error hafu unapewa dozi na dakitari
 
Back
Top Bottom