Mama wa mtoto asisahau majukumu yake kwa mtoto wake kwani, anapoambiwa kua kitovu pindi kinapodondoka kwenye uume husababisha uanisi inamfanya awe makini sana katika uangalizi huo na kumfanya mwanae awe katika hali nzuri ya uangalizi na usafi pia.!Hii hadithi imakuwa ikisimuliwa for ages, especially kwa wanawake. Na hata pale unapotoka kujifungua nurses wanakwambia namna ya kuangalia kitovu cha mtoto, kusafisha mpaka kikauke, na hapo ndipo wanakwambia kwamba uwe makini kitovu kisidondoke kwenye uume wa mtoto. Sasa hili ni la ki-medical au ki-imani?
Si kila jambo linahitaji ushahidi wa kitaalamu,ayo mambo mimi kwa sasa nayaamini na wala sidharau... nilitaka ushahidi wa kisayansi nilipoambiwa nikizini nje ya ndoa kisha nikamshike mtoto wangu hom anadhurika, Nikafanya experiment kabla ya kufika hom nikabeba mtoto wa rafiki yangu, nikafika hom wangu sikumbeba alinipokea kwa kunikumbatia miguuu (aliniwao) kilichitokea kesho yake asubuhi aliamka kalegea unatokwa na udenda kama teja, kwani vipimo vya hospitali vilipata ugonjwaWandugu,
Napenda kufahamu kitaalamu juu ya imani au uvumi kuwa mtoto mchanga anapozaliwa lazima mzazi na hasa mama ahakikishe kuwa kitovu cha mtoto huyo kitakapokauka na kudondoka basi kisiguse sehemu nyeti za huyo mtoto. Inasemekana kuwa ikitokea kuwa kitovu hicho kimedondoka na kugusa sehemu hizo nyeti basi mtoto huyo kama ni wa kiume atakuwa bwabwa na kama ni wa kike nae atakuwa msagaji? (hatakuwa na feeling za kuhitaji mwanaume)..
Nahitaji maelezo ya kitaalamu na hasa kwenu nyie wataalamu wa tiba kuhusu hili kwani yanazungumzwa lakini hakuna justification ya kitaalamu inayotolewa zaidi ya kuonekana ni mapokeo ya imani tu.
na iwapo kazaliwa mzima na kabla hajaanza kucheza ki baba baba tuseme ana miezi mi 2 halafu inakuwa gojogojo je nayo ni mzazi kumkataza jambo fulani lililo muathiri kisaikolojia?Kitaalamu hilo suala la kitovu kinapoangua na kugusa sehemu nyeti za mtoto na kumfanya awe hanidhi si ukweli. Mie nahisi ni mila za baadhi ya makabila.
Kitaalam mtoto kila anapokuwa katika kipindi fulani basi kuna mambo lazima atapitia,sasa mzazi ambaye atamkataza huyu mtoto kufanya haya mambo yanaweza kumuathiri kisaikologia.
Mfano watoto wengi katika umri fulani huwa wanacheza kama vile wazazi katika familia, mtoto wa kiume baba na mtoto wa kike ni mama, so hawatakiwi kukatazwa, kwani ni mambo ya kupitia na baadae wataacha.
Pia kuna umri fulani watoto huwa wanajisaidia haja kubwa au ndogo pasipo kujielewa. Mzazi hautakiwi kumpiga na kumtisha mtoto, kwasababu hiyo ni hali kutokana na kutokomaa kwa mfumo wake wa fahamu. Pindi mzazi utapokuwa unampiga na kumtishia ili aache hiyo tabia, ni kweli ataacha ila yaweza kuwa ikamuathiri ukubwani.
"AISIMULIAYE MVUA IMEMNYEA"Pumbavu nyie mmekosa mada zingine
Nitafanya research juu ya hilo jambo na kupublish matokeo hapaInadaiwa kuwa kitovu cha mtoto aliyezaliwa huwa kinaandamana na mikosi na mabalaa mengi kutoka kwa mama. na ndio maana hutakiwa kuzikwa ardhini (kwa kiasili) na sio kutupa sehemu yoyote. Maelezo haya hayana utaalamu wo wote ila ni mambo ya kimila tu. ajabu ni kuwa makabila mengi hapa nchini yanaamini hivyo!
Kama kinaandamana na mikosi na mabalaa toka kwa mama. Sasa inakuwahe mimi mtoto ambae nimezaliwa na huyo mama, nimekula na kupumua kupitia hicho kitovu????Inadaiwa kuwa kitovu cha mtoto aliyezaliwa huwa kinaandamana na mikosi na mabalaa mengi kutoka kwa mama. na ndio maana hutakiwa kuzikwa ardhini (kwa kiasili) na sio kutupa sehemu yoyote. Maelezo haya hayana utaalamu wo wote ila ni mambo ya kimila tu. ajabu ni kuwa makabila mengi hapa nchini yanaamini hivyo!
Aisee! Hiyo dawa hatari sana.Kuna mshkaji juzijuzi tulikuwa tunaongelea hiyo ishu. Na akasema dawa ni, mhusika kusex na mama yake mzazi. Na akatoa mifano hai kudhibitisha.