Uharibifu uliotekelezwa 'Nairobi Expressway' kuigharimu Serikali Tsh bilioni 12

Uharibifu uliotekelezwa 'Nairobi Expressway' kuigharimu Serikali Tsh bilioni 12

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen amesema uharibifu uliotekelezwa na waandamanaji kwenye barabara maarufu ya 'Nairobi Expressway' utagharimu Serikali ya Kenya takriban milioni 700, sawa na bilioni 12 pesa za Tanzania.

Waziri Murkomen amesema haya baada ya kuzuru barabara hio kufanya tathmini kwa pamoja na wahandisi Wakuu raia wa China waliosimamia ujenzi wa barabara hio. Aidha ameongeza kuwa vituo vitatu vya reli viliharibiwa na waandamanaji siku ya Jana.

Kadhalika amethibitisha kukamatwa kwa watu zaidi ya 50 walionaswa na kamera za CCTV.
 
Kuna Dalili Kenya kuja kuishia kama Sudani ni swala la mda Tu .

Kenya ukabila mwingi na wanaoongoza kufanya vurugu ni wanachama wa Baba
 
Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen amesema uharibifu uliotekelezwa na waandamanaji kwenye barabara maarufu ya 'Nairobi Expressway' utagharimu Serikali ya Kenya takriban milioni 700, sawa na trilioni 12 pesa za Tanzania.

Waziri Murkomen amesema haya baada ya kuzuru barabara hio kufanya tathmini kwa pamoja na wahandisi Wakuu raia wa China waliosimamia ujenzi wa barabara hio. Aidha ameongeza kuwa vituo vitatu vya reli viliharibiwa na waandamanaji siku ya Jana.

Kadhalika amethibitisha kukamatwa kwa watu zaidi ya 50 walionaswa na kamera za CCTV.

12 trillion unazijua wewe mkunya ?
 
Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen amesema uharibifu uliotekelezwa na waandamanaji kwenye barabara maarufu ya 'Nairobi Expressway' utagharimu Serikali ya Kenya takriban milioni 700, sawa na trilioni 12 pesa za Tanzania.

Waziri Murkomen amesema haya baada ya kuzuru barabara hio kufanya tathmini kwa pamoja na wahandisi Wakuu raia wa China waliosimamia ujenzi wa barabara hio. Aidha ameongeza kuwa vituo vitatu vya reli viliharibiwa na waandamanaji siku ya Jana.

Kadhalika amethibitisha kukamatwa kwa watu zaidi ya 50 walionaswa na kamera za CCTV.
milioni 700 kshs ni sawa na trioni 12 za kibongo?!!
 
Odinga anatumia maandamano kwa maslahi yake

Ila kama atakuwa anaandamana pamoja nao barabarani basi sio kwa maslahi binafsi
 
Back
Top Bottom