Ndiyo huyo mwenye asili ya SomaliaIvi si ndo yule m'bunge!!?
Ingekua ni mtu wa yanga ndio kawaita mbumbumbu ningesema kawaonea ila kwa kua ni kiongozi wao mkubwa basi naamini kweli watu wa simba ni mambumbumbu
Dhambi haihalalishwi kwa kutendwa na watu wengiKwa hiyo unahalalisha upuuuzi??
Naskia timu yenu ni ya netiboli, mnafunga hadi magoli ya mikono...
Nasikia hamto chezea tena Uwanja wa Taifa mpaka Klabu yenu ikarabati viti vilivyo haribika.........!
two wrongs do not make a right though half and half makes one,simba imeonewa, ingefaa hiyo M5 alipishwe huyo refa aliye sababisha mashabiki wangoe viti
mkuu nimependa maneno yakoView attachment 410787
Nafikiri tulipaswa kulitazama tukio la vurugu zilizotokea jana kwa jicho huru,tukilitazama tukio lile kwa jicho la kishabiki tutaishia kuwashushia lawama mashabiki wa Simba na kuwaacha waamuzi waliopekekea mashabiki kufanya vitendo vile.
Hii ndiyo Tanzania,ni Tanzania pekee ambako abiria anaweza kulaumiwa kwa nini alipanda basi lililoenda kusababisha ajali,badala ya kumlaumu dereva aliyesababisha ajali yenyewe,nafikiri tunapaswa kupimwa mienendo ya ubongo wetu,huenda ubongo wetu unafikiri "antcklockwise".
hii hali ya kuonewa imezidi sasatwo wrongs do not make a right though half and half makes one,
vile viti ni vyetu sote hata ukionewa huwezi kuvunja viti
[emoji23] [emoji23] mnatak slop yngaSimba inyang'anywe point 6 na icheze mechi 10 bila mashabiki mechi zake za nyumbani, huu ni upumbavu wa hali ya juu!!
poleni kwa kuonewa lakini pia marefa ni binadamu na ungepewa ile mechi wewe ungefanya vibaya zaidihii hali ya kuonewa imezidi sasa
View attachment 410787
Nafikiri tulipaswa kulitazama tukio la vurugu zilizotokea jana kwa jicho huru,tukilitazama tukio lile kwa jicho la kishabiki tutaishia kuwashushia lawama mashabiki wa Simba na kuwaacha waamuzi waliopekekea mashabiki kufanya vitendo vile.
Hii ndiyo Tanzania,ni Tanzania pekee ambako abiria anaweza kulaumiwa kwa nini alipanda basi lililoenda kusababisha ajali,badala ya kumlaumu dereva aliyesababisha ajali yenyewe,nafikiri tunapaswa kupimwa mienendo ya ubongo wetu,huenda ubongo wetu unafikiri "antcklockwise".
mnamkumbuka Howard webb?alifanya mangapi ya kukera na kupendelea timu yake?hii hali ya kuonewa imezidi sasa
israel nkongo anaitwa yule refa mechi ya azzamRefarii ni binadamu sio machine kama ni kweli ni mshabiki wa soka hayo mambo yanayokea kwenye soka kila mara lakini mashabiki hawavunji viti huu ni ujinga haufai kutetewa kabisa.Kuna mechi ya Yanga alichemsha wachezaji wa Yanga walimpiga yule refa lakini mashabiki hawakuvunja viti wala kufanya fujo yeyote.Hii sio mara ya kwanza mashabiki wa Simba wanaharibu viti uwanja wa Taifa
[emoji23] [emoji23] mnatak slop ynga
[emoji23] [emoji23] mnatak slop ynga
UWEZO WA TAMBWE:Unajua pale ndio uwezo wa Tambwe ulipoishia,
Kiwango chake kiko chini sana.
Huyu nae vipi!?Kwani viti vimekua roho vikitoka havirudi! Tutalipa ila sms imefika next time ujinga kama huu tunaondoka na magoli