Uhasama wa Leo: Tan VS Kny AFCON ni Sawa na ule wa USA VS Iran World Cup?

Uhasama wa Leo: Tan VS Kny AFCON ni Sawa na ule wa USA VS Iran World Cup?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Mechi ya Leo kati ya Tanzania na Kenya imelipua pia chachu ya uhasama ambao unaletwa na siasa kutokana na kauli mbalimbali za viongizi, wasanii na raia wa kawaida.

Je, uhasama huu ndani ya mpira unaweza kuleta mashamshamu kama yale ya USA ilipokutana na Iran world Cup?

Nadhani hii itakuwa zaidi maana ukiacha kauli za kina Jaguar na wabunge wetu, kuna kingine hapo.

Victor Wanyama anayekipiga EPL alitembelea Tanzania na kupongezwa kwa kuleta mashamsham katika Ndondo Cup mwaka jana,. Hali hiyo iliifanya meya mmoja wa munispal kumpa Wanyama mtaa.

Kilichotokea kwa vile meya huyo hakuwa wa CCM basi Makonda alifuta jina la mtaa huo kibabe na kumfedhehesha Wanyama.

Leo Wanyama anaongoza mashambulizi ya Harambee na Makonda anaongoza washabiki wa Taifa stars, hapo sasa ndio mtanange nani ainamishe kichwa kwa fadhaa?

Je ni Makonda na Taifa kwa jumla au Wanyama na Kenya yake?
Hii ni zaidi ya US na Iran.

Pamoja na Makonda kuingia na kutuharibia mood, bado tunaomba Mungu aibariki Stars.
 
Mh. Chakaza, sahau ya Makonda kwa leo. maana leo ni DO or DIE! labda tungecheza na nchi nyingine hiyo nyongo ingeruhusiwa kuwepo lakin kwa sababu ni hawa jirani, tusahau tofauti zetu! Do or DIE!
 
Watanzania tukiingia uwanjani na pressure za akina MAKONDA tutapigwa nyingi. Tunawasihi wachezaji wetu wasikubali kulishwa maneno ya chuki dhidi ya wakenya sikuzote mchezo wa soccer hauitaji hasira
 
Mh. Chakaza, sahau ya Makonda kwa leo. maana leo ni DO or DIE! labda tungecheza na nchi nyingine hiyo nyongo ingeruhusiwa kuwepo lakin kwa sababu ni hawa jirani, tusahau tofauti zetu! Do or DIE!
... suala la kitaifa linapotumika kutafuta sifa binafsi au za vikundi vichache ni tatizo sana! Ile timu imebeba bendera ya taifa hivyo matokeo yoyote itakayopata yawe ya taifa zima and not for praising some people usually for political gains if the team wins! Shida ya msingi iko hapo!
 
Mechi ya Leo kati ya Tanzania na Kenya imelipua pia chachu ya uhasama ambao unaletwa na siasa kutokana na kauli mbalimbali za viongizi, wasanii na raia wa kawaida.

Je, uhasama huu ndani ya mpira unaweza kuleta mashamshamu kama yale ya USA ilipokutana na Iran world Cup?

Nadhani hii itakuwa zaidi maana ukiacha kauli za kina Jaguar na wabunge wetu, kuna kingine hapo.

Victor Wanyama anayekipiga EPL alitembelea Tanzania na kupongezwa kwa kuleta mashamsham katika Ndondo Cup mwaka jana,. Hali hiyo iliifanya meya mmoja wa munispal kumpa Wanyama mtaa.

Kilichotokea kwa vile meya huyo hakuwa wa CCM basi Makonda alifuta jina la mtaa huo kibabe na kumfedhehesha Wanyama.

Leo Wanyama anaongoza mashambulizi ya Harambee na Makonda anaongoza washabiki wa Taifa stars, hapo sasa ndio mtanange nani ainamishe kichwa kwa fadhaa?

Je ni Makonda na Taifa kwa jumla au Wanyama na Kenya yake?
Hii ni zaidi ya US na Iran.

Pamoja na Makonda kuingia na kutuharibia mood, bado tunaomba Mungu aibariki Stars.
all the best Harambee Stars.

majority of Tanzanians are backing you for a landslide victory tonight vs that miserable Bashite team!
 
Mechi ya Leo kati ya Tanzania na Kenya imelipua pia chachu ya uhasama ambao unaletwa na siasa kutokana na kauli mbalimbali za viongizi, wasanii na raia wa kawaida.

Je, uhasama huu ndani ya mpira unaweza kuleta mashamshamu kama yale ya USA ilipokutana na Iran world Cup?

Nadhani hii itakuwa zaidi maana ukiacha kauli za kina Jaguar na wabunge wetu, kuna kingine hapo.

Victor Wanyama anayekipiga EPL alitembelea Tanzania na kupongezwa kwa kuleta mashamsham katika Ndondo Cup mwaka jana,. Hali hiyo iliifanya meya mmoja wa munispal kumpa Wanyama mtaa.

Kilichotokea kwa vile meya huyo hakuwa wa CCM basi Makonda alifuta jina la mtaa huo kibabe na kumfedhehesha Wanyama.

Leo Wanyama anaongoza mashambulizi ya Harambee na Makonda anaongoza washabiki wa Taifa stars, hapo sasa ndio mtanange nani ainamishe kichwa kwa fadhaa?

Je ni Makonda na Taifa kwa jumla au Wanyama na Kenya yake?
Hii ni zaidi ya US na Iran.

Pamoja na Makonda kuingia na kutuharibia mood, bado tunaomba Mungu aibariki Stars.
Mkuu Chakaza leo imefaa tufungwe. Itakua shangwe mbinguni na duniani kwa wale wamchao Mungu.

Kwa hili hawawezi kutushikia bunduki tuipende staazi.

Pengine watapata funzo kwa hali wamevuruga umoja wa watanzania.
 
Mechi ya Leo kati ya Tanzania na Kenya imelipua pia chachu ya uhasama ambao unaletwa na siasa kutokana na kauli mbalimbali za viongizi, wasanii na raia wa kawaida.

Je, uhasama huu ndani ya mpira unaweza kuleta mashamshamu kama yale ya USA ilipokutana na Iran world Cup?

Nadhani hii itakuwa zaidi maana ukiacha kauli za kina Jaguar na wabunge wetu, kuna kingine hapo.

Victor Wanyama anayekipiga EPL alitembelea Tanzania na kupongezwa kwa kuleta mashamsham katika Ndondo Cup mwaka jana,. Hali hiyo iliifanya meya mmoja wa munispal kumpa Wanyama mtaa.

Kilichotokea kwa vile meya huyo hakuwa wa CCM basi Makonda alifuta jina la mtaa huo kibabe na kumfedhehesha Wanyama.

Leo Wanyama anaongoza mashambulizi ya Harambee na Makonda anaongoza washabiki wa Taifa stars, hapo sasa ndio mtanange nani ainamishe kichwa kwa fadhaa?

Je ni Makonda na Taifa kwa jumla au Wanyama na Kenya yake?
Hii ni zaidi ya US na Iran.

Pamoja na Makonda kuingia na kutuharibia mood, bado tunaomba Mungu aibariki Stars.
Tatizo ni Timu ya Taifa kuonekana ya Chama fulani
 
Mh. Chakaza, sahau ya Makonda kwa leo. maana leo ni DO or DIE! labda tungecheza na nchi nyingine hiyo nyongo ingeruhusiwa kuwepo lakin kwa sababu ni hawa jirani, tusahau tofauti zetu! Do or DIE!
Tatizo na wachezaji wenyewe hawajitambui, wanasema wapo pale wanaiwakilisha serekali ya ccm na raisi magufuli. Na sio Tanzania. Kwa hali hiyo Mimi na washkaji zangu hapa tupo harambee stars
 
Acheni roho mbaya. .Taifa stars washinde vijana wapate timu Ulaya. .wengi wametokea familia duni
 
Mechi ya Leo kati ya Tanzania na Kenya imelipua pia chachu ya uhasama ambao unaletwa na siasa kutokana na kauli mbalimbali za viongizi, wasanii na raia wa kawaida.

Je, uhasama huu ndani ya mpira unaweza kuleta mashamshamu kama yale ya USA ilipokutana na Iran world Cup?

Nadhani hii itakuwa zaidi maana ukiacha kauli za kina Jaguar na wabunge wetu, kuna kingine hapo.

Victor Wanyama anayekipiga EPL alitembelea Tanzania na kupongezwa kwa kuleta mashamsham katika Ndondo Cup mwaka jana,. Hali hiyo iliifanya meya mmoja wa munispal kumpa Wanyama mtaa.

Kilichotokea kwa vile meya huyo hakuwa wa CCM basi Makonda alifuta jina la mtaa huo kibabe na kumfedhehesha Wanyama.

Leo Wanyama anaongoza mashambulizi ya Harambee na Makonda anaongoza washabiki wa Taifa stars, hapo sasa ndio mtanange nani ainamishe kichwa kwa fadhaa?

Je ni Makonda na Taifa kwa jumla au Wanyama na Kenya yake?
Hii ni zaidi ya US na Iran.

Pamoja na Makonda kuingia na kutuharibia mood, bado tunaomba Mungu aibariki Stars.
Afadhali kwa Wakenya ni wamoja kwasasa...
 
Naweza kutazama mechi hii ONLINE wadau?? msaada wa link au live tv online inayoonesha madhindano haya tafadhali!
 
all the best Harambee Stars.

majority of Tanzanians are backing you for a landslide victory tonight vs that miserable Bashite team!
Wewe sio Mtanzania! Huku kwetu Tz timu yetu ya taifa haiitwi Bashite.
 
Back
Top Bottom