msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
plz!naomb nichek on whatsapp 0625499957Habari zenu. Naitwa..... umri miaka 25 naishi Dar kama nilivyotangulia hapo mwanzo ni kweli kuwa nimechoka kuishi pekee Nahitaji mwenza wa kuwa nae maishani kusaidiana katika dhiki na faraja tucheke wote tulie wote pamoja siku zooote za maisha yetu. Wasifu wangu:- ni wa kawaida tuu ni mcheshi, mtafutaji naishi pekee ninafanya kazi ya kuniwezesha kupata fedha kiasi SIFA ZA NINAETAMANI KUWA NAE :- 1muonekano wa kawaida 2.mcheshi 3.awe amemaliza ujana (Namaanisha awe anajielewa hana mambo ya kivulana awe na kiu ya maendeleo) ili tufanye maisha tuu na sio mambo yasiyo na faida 4.awe na shughuli ya kumuingizia kipato hata kama ni cha kawaida tuu. Akiwa na umri wa kuanzia miaka 30 itapendeza zaidi mtu wa kawaida tuu asiye na makuu ambae hajioni kuwa yupo sahihi kwa kila kitu, nitamheshimu. Angalizo sihitaji boyfriend au mtu wa ku spend (kula raha) hapana nimefafanua toka mwanzo aina ya mtu nimtakae ni wa kuanza nae maisha kama upo tayari ni PM mengine tutaongea zaidi
kama upo siriazi unataka mwenza fuata haya .... jiweke class, jiheshimu, kuwa na kauli nzuri na watu wanaokuzunguka..... jamii yote unayoishi hukosi mwanaume... kuanzia kazini kwako, mtaani kwako, sokoni, dukani, gengeni, unapoabudu msikitini/kanisani......... kote huku hujawahi kupata hata mtu akuombe namba za simu ? kama jibu ni hapana jitathimi upya something wrongUsipende kuwafikiria wenzio vibaya ktk maisha utafanikiwa kuishi vizuri na siku zote usimdharau usiyemjua
kitendo cha kuweka tu namba yako hapa inaonekana bado hujamaliza ujana0625499957
Kwa majibu yako huna sifa za kuwa mke hata wa Dr Shika
Nipm pleaseHabari zenu. Naitwa..... umri miaka 25 naishi Dar kama nilivyotangulia hapo mwanzo ni kweli kuwa nimechoka kuishi pekee Nahitaji mwenza wa kuwa nae maishani kusaidiana katika dhiki na faraja tucheke wote tulie wote pamoja siku zooote za maisha yetu. Wasifu wangu:- ni wa kawaida tuu ni mcheshi, mtafutaji naishi pekee ninafanya kazi ya kuniwezesha kupata fedha kiasi SIFA ZA NINAETAMANI KUWA NAE :- 1muonekano wa kawaida 2.mcheshi 3.awe amemaliza ujana (Namaanisha awe anajielewa hana mambo ya kivulana awe na kiu ya maendeleo) ili tufanye maisha tuu na sio mambo yasiyo na faida 4.awe na shughuli ya kumuingizia kipato hata kama ni cha kawaida tuu. Akiwa na umri wa kuanzia miaka 30 itapendeza zaidi mtu wa kawaida tuu asiye na makuu ambae hajioni kuwa yupo sahihi kwa kila kitu, nitamheshimu. Angalizo sihitaji boyfriend au mtu wa ku spend (kula raha) hapana nimefafanua toka mwanzo aina ya mtu nimtakae ni wa kuanza nae maisha kama upo tayari ni PM mengine tutaongea zaidi
Ni kweli kabisa,wenye nia tupo.Usikatishwe tamaa dear,,endelea kuomba utapata..c kwamba wote ni wabaya humu wapo watu wazur sana utakutana nao na hutaamin,,kila la heri,,take care