Uhitaji wa mwenza mwanaume

plz!naomb nichek on whatsapp 0625499957
 
Usipende kuwafikiria wenzio vibaya ktk maisha utafanikiwa kuishi vizuri na siku zote usimdharau usiyemjua
kama upo siriazi unataka mwenza fuata haya .... jiweke class, jiheshimu, kuwa na kauli nzuri na watu wanaokuzunguka..... jamii yote unayoishi hukosi mwanaume... kuanzia kazini kwako, mtaani kwako, sokoni, dukani, gengeni, unapoabudu msikitini/kanisani......... kote huku hujawahi kupata hata mtu akuombe namba za simu ? kama jibu ni hapana jitathimi upya something wrong
 
Mwisho wa kupokea maombi ni lini na tarehe ya kufanya usaili nijiandae mapema
 
Sijatimiza vigezo,Nina 28 kwa mujibu wa mtoa Uzi nimebakisha 2yrs ya ujana[emoji26] [emoji26]
 
Usikatishwe tamaa dear,,endelea kuomba utapata..c kwamba wote ni wabaya humu wapo watu wazur sana utakutana nao na hutaamin,,kila la heri,,take care
 
wa kawaida wapoje? anyway npo chin ya huo umri Ila ujana nmemalza coz tunakutana na mengi na yanatukomaza, ntafte pm km u siriaz
 
Nipm please
 
Usikatishwe tamaa dear,,endelea kuomba utapata..c kwamba wote ni wabaya humu wapo watu wazur sana utakutana nao na hutaamin,,kila la heri,,take care
Ni kweli kabisa,wenye nia tupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…