Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Mambo ni shaghala bhaghala kama nchi.
Tanzania aichomoki kwa wahusika wa succession planning waliopo hawana clue dunia inazunguka vipi.
Take it or leave it hata hao vijana wa kesho waliopewa madaraka leo, wengi hawana uwezo.
Get some serious people tume ya utumishi.
Kama teuzi za uongozi wetu ni wakujifurahisha wenyewe sawa. Lakini kama issue ni watu wa kuipeleka Tanzania mbele.
Kama nchi aichomoki kwa vijana wadogo wanaopewa madaraka: simply wengi wao hawana uwezo.
Easy to predict the outcome on most political and government decisions.
Tanzania aichomoki kwa wahusika wa succession planning waliopo hawana clue dunia inazunguka vipi.
Take it or leave it hata hao vijana wa kesho waliopewa madaraka leo, wengi hawana uwezo.
Get some serious people tume ya utumishi.
Kama teuzi za uongozi wetu ni wakujifurahisha wenyewe sawa. Lakini kama issue ni watu wa kuipeleka Tanzania mbele.
Kama nchi aichomoki kwa vijana wadogo wanaopewa madaraka: simply wengi wao hawana uwezo.
Easy to predict the outcome on most political and government decisions.