Uholanzi Yaipa Ukraine Ndege Chapa F-16 Kama Kisasi Cha Kulipiza Ndege Yake Ya Abiria Kulipuliwa Na Mawakala Wa Putin Na Kuua Abiria 196

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
Ndege hiyo Chapa MH 17 iliydunguliwa na Mawakala Wa Putin miaka 9 iliyopita na Kuua abiria wa Uholanzi 196.Uholanzi Kulipiza kisasi imeipatia Ukraine Ndege za kivita Chapa F-16,ili kusaidia kupambana na vikosi vya Urusi ,vilivyovamia Ukraine.๐Ÿค”
...
 
Sasa hii habari na huyu Ramaphosa hapa chini vinaendana veepe
Umeshindwa kabisa kuunganisha "gestures" za picha ya Ramaphosa na taarifa ya uzi na akili za mtoa uzi!?? ..... Jibu lipo kwenye hiyo picha....
 
Umeshindwa kabisa kuunganisha "gestures" za picha ya Ramaphosa na taarifa ya uzi na akili za mtoa uzi!?? ..... Jibu lipo kwenye hiyo picha....
Ni kwamba wadachi hawajatoa hizo ndege?
Weka uzi wako ambao unakanusha badala ya kubisha bila facts.Mimi nimeweka na source ya habari๐Ÿค”
 
Staftah njema bandugu
 
Kutoa ndege sio tatizo hata kidogo hata poland alikubali kutoa ndege kwenda ukraine hila tatizo likaja zinaingia ukraine kutoka kwenye nchi gani?ikitokea poland kuingia ukraine ataonekana yy poland ndio kaingia na ndege kushambulia majeshi ya urusi kitawaka,akamwambia usa nikuletee ndege huko kwenye camp yako germany halafu uzipeleke ww ukraine nae usa amekataa ndege zimekosa wa kuzipeleka.
 

Ustadhi kama ustadhi....na mtahema sana.
 
๐—ต๐—ฎ๐—ถ๐˜๐—ผ๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ฎ ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—น๐—ฎ ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐˜€๐—ถ
 
Duh Uholanzi haina airline yenye ndege chapa MH 17 ndugu, do your homework. MH ni ndege za Malaysian Airlines
Uholanzi wa KLM, ndege zao husajiliwa kama KL
 
Hivi hii vita kati ya Urusi na Ukraine bado ipogo?!

Akina Biden na "Makaron" wake kelele kwisha kabisa....Urusi mfupa mgumu, ukijifanya kuuvunja utaishia tu kuulamba na kuuacha kisha kuondoka kimya kimya ๐Ÿ˜Ž
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ