Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF ivi ni kwa nini idadi kubwa ya wachawi duniani hata hapa tanzania wanao kamatwa ni wanawake hususani wazee na ni vip? ididadi kubwa ya wtu wanaougua vichaa huwa ni wanaume?
JF ivi ni kwa nini idadi kubwa ya wachawi duniani hata hapa tanzania wanao kamatwa ni wanawake hususani wazee na ni vip?
Ni kwasababu me wengi hukumbwa na msongo wa mawazo, hilo husababishwa na ugumu wa maisha na majukumu!ididadi kubwa ya wtu wanaougua vichaa huwa ni wanaume?
siyyo upeo wangu ndo ukweli huo unapingana na uhalisia wewe mtu niaje ndo tattizo la baadhi ya w2 munabishabisha ili mradi wewe kukua kwako ujaona hii ki2 in uhalisia?mkuu, inaonyesha upeo wako unaamini kuwa;----- kuna uhusiano wa karibu kati ya ukichaa na uchawi.
kutoke usukumani au ufipan siyo ishu sana mimi sizungumuziii watu gani wanaani uchawi kwa idadi kubwa na zungumzia idadi kubwa kwa njisia moja kwa nini wanaume nao wasisingiziwe kwa wingi kama wanawake na vi bibibangalia mkuu usije ukawa umetokea usukumani wanakoua wabibi vikongwe ha ha ha ha ha ha:biggrin: