Uhuni huu hufanywa pia na CCM

Uhuni huu hufanywa pia na CCM

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Uhuni ni tabia ya watu kufanya jambo kwa kupuuzia kanuni zlizowekwa na jamii husika.

Kwenye siasa kuna kanuni ya kuheshimu watu unaowaongoza, angalau kwa vitendo

Lakini kwa Afrika wanasiasa wengi huwa hawana tabia ya kuwaheshimu watu wanaowaongoza. Yaani udanganyifu ndiyo aina ya maisha yao ya kisiasa wanayoishi

Hapa chini nimeweka picha ya video ya mtu anayezindua kisima kisicho na maji.


Unawaza inakuwaje mpaka Karne hii kunafanyika tukio la uzinduzi wa kisima cha maji. Ni wakati gani tutafanya uzinduzi wa safari za kwenda kutafiti anga zingine?
 
CCM NI JANGA.ALIWAHI KUJA WAZIRI ENZI ZILE ZA MKAPA AKAZINDUA KISIMA KIKATOA MAJIA SIKU 2 TENA INATUMIA PAMPU YA MKONO.
 
Ukiangalia garama ya kuzindua ni sawa mara kumi ya garama ya mzinduaji.nchi ya wagagigikoko
 
Uhuni ni tabia ya watu kufanya jambo kwa kupuuzia kanuni zlizowekwa na jamii husika.

Kwenye siasa kuna kanuni ya kuheshimu watu unaowaongoza, angalau kwa vitendo

Lakini kwa Afrika wanasiasa wengi huwa hawana tabia ya kuwaheshimu watu wanaowaongoza. Yaani udanganyifu ndiyo aina ya maisha yao ya kisiasa wanayoishi

Hapa chini nimeweka picha ya video ya mtu anayezindua kisima kisicho na maji.

View attachment 3105325
Unawaza inakuwaje mpaka Karne hii kunafanyika tukio la uzinduzi wa kisima cha maji. Ni wakati gani tutafanya uzinduzi wa safari za kwenda kutafiti anga zingine?
Uhuni ni mwingi pesa za join the chain hazijulokani zilipo!
 
Back
Top Bottom