MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Salama wandugu,
Kwanza nianze kwa kuwapa pole wananchi wa Ukraine kumchagua mhuni kuongoza nchi kihuni huni.
Alianza kwa kupanga kulipua dirty Bomb wakamshitukia kama kelele zisingepigwa angelipua .
Ionekane Russia katumia nuclear lengo lake analijua yeye mhuni huyu.
Ameua RAIA wa jirani zake kwa mpango ambao hata mtoto wa nursery anagundua.
Wameumbuka kwelikweli kule G20 kila kiongozi.
Wanamung'unya maneno hakuna wanalojibu wanampango gani ukraine.
Mkuu wa majeshi marekani ameweka wazi Ukraine now is over akae na Russia wayamalize kwa kutii matakwa ya Russia.
Wamesema Kule G20 hata vaa yake ya kihuni huni.
Kwanza nianze kwa kuwapa pole wananchi wa Ukraine kumchagua mhuni kuongoza nchi kihuni huni.
Alianza kwa kupanga kulipua dirty Bomb wakamshitukia kama kelele zisingepigwa angelipua .
Ionekane Russia katumia nuclear lengo lake analijua yeye mhuni huyu.
Ameua RAIA wa jirani zake kwa mpango ambao hata mtoto wa nursery anagundua.
Wameumbuka kwelikweli kule G20 kila kiongozi.
Wanamung'unya maneno hakuna wanalojibu wanampango gani ukraine.
Mkuu wa majeshi marekani ameweka wazi Ukraine now is over akae na Russia wayamalize kwa kutii matakwa ya Russia.
Wamesema Kule G20 hata vaa yake ya kihuni huni.