Chanzo ni vijiwe vya Tanga anakotokea mleta uziSafi sana. Tunaomba pia chanzo ili nasi tujisomee zaidi.
Atajulia wapi?T.shirt hiyo ni ULINZI mtupu risasi haipiti haipenyezi sio kwamba mvaa ovyo
unazingua mtani wangu mkwereHivi unazijua bullet proof wewe mzalamo wa tandale
Umevimbiwa maharagwe wwT.shirt hiyo ni ULINZI mtupu risasi haipiti haipenyezi sio kwamba mvaa ovyo
Kweli !!Umevimbiwa maharagwe ww
We jamaa kwahiyo sisi wote humu umetufanya mbumbumbu?T.shirt hiyo ni ULINZI mtupu risasi haipiti haipenyezi sio kwamba mvaa ovyo
kweli sio kweli ,tisheti hiyo Bei yake Tz unajenga unajenga nyumba za million 40 nyumba 80 au zaidiWe jamaa kwahiyo sisi wote humu umetufanya mbumbumbu?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Au sio?kweli sio kweli ,tisheti hiyo Bei yake Tz unajenga unajenga nyumba za million 40 nyumba 80 au zaidi
ndo upigie hesabu kwann avae t-shirt ya gharama mchanganuo huo kwa bongo hapa ili iweje mleta mada atambie zele si MHUNI
T-shirt milioni 80?ndo upigie hesabu kwann avae t-shirt ya gharama mchanganuo huo kwa bongo hapa ili iweje mleta mada atambie zele si MHUNI
Soma vizuri sijasema hivyoT-shirt milioni 80?
Kwa risasi gani zisipite hapo?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Pia kunakuti Fulani sometimes huvaa na hata Putin analo gharama bongo hapa waweza nunua wilaya ,risasa zinateleza labda utumie kitu Kama HIMARST-shirt milioni 80?
Kwa risasi gani zisipite hapo?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Duh zipo bullet proof za kuvaa lakini so muundo wa tishirt ya Zeleboy. Hiyo tishirt Ni ya kawaida kabisa isio na dalili yoyote ya kuwa na vifaa vya kiulinzi Kama bullet proofPia kunakuti Fulani sometimes huvaa na hata Putin analo gharama bongo hapa waweza nunua wilaya ,risasa zinateleza labda utumie kitu Kama HIMARS