Uhuru au mapinduzi? Pinga serikali tatu, sema kila nchi ijitawale yenyewe.

Uhuru au mapinduzi? Pinga serikali tatu, sema kila nchi ijitawale yenyewe.

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
@
Wazanzibari wanakaribia kutimizanusu karne ifikapo January 12 tokea Mapinduzi ya nchi hiyo, kuna fikra tofauti ya kwamba Wazanzibari ni lazima waanze kusherehekea siku yao ya uhuru pia, uhuru ambao ulipatikanwa siku ya December 10, 1963 kutoka kwa Muingereza.
Wale wanaosindikiza kutambuliwa kwa siku hiyo wengi ni vijana, lakini wengi wa wazee, hususan wale ambao waliopata kushiriki katika Mapinduzi wanapinga wazo la kusherehekea Uhuru na kuienzi siku hii.
Haikubaliki kuisherehekea siku ya December 10 kwa Wazanzibari, nawale wafanyao hivi ni lazima wajue wanafanya makosa na wanawapoteza Wazanzibari wenzao.
Mapinduzi yamegubika unyonge ndani ya taifa la zanzibar na baya zaidi si tu kugubikwa wazanzibari wenyewe lakini pamoja na taifa lao limeshatumbukizwa mnadani, linanadiwa bila idhini yao wazanzibari.
Jee huu si unyonge mkubwa tena unashinda unyonge ule wa wakati wa sultani,wanapigwa,wanavunjiwa nyumba zao,wanabughudhiwa,wananajisiwa,wanafungwa,wananyang'anywa mali zao kisha yadumu mapinduzi!! Laa!! yadumuke juu chini.
WaZanzibar waachwe sasa wapumue.
Kataa serikali tatu, sema kila nchi ijitawale yenyewe, kuwatetea wenzetu wa wazanzabir.
MAPINDUZI=MUUNGANO=UKOLONI.
 
Kwanza naomba katiba ya Tanganyika kabla ya Muungano ionekane na iwekwe wazi kwa watanzania, Bendera yetu ya Tanganyika tuione....baada ya hapo Tanganyika itambuliwe kama nchi na Zanzibar kama nchi then tu-review muungano and its terms.....
 
@
Wazanzibari wanakaribia kutimizanusu karne ifikapo January 12 tokea Mapinduzi ya nchi hiyo, kuna fikra tofauti ya kwamba Wazanzibari ni lazima waanze kusherehekea siku yao ya uhuru pia, uhuru ambao ulipatikanwa siku ya December 10, 1963 kutoka kwa Muingereza.
Wale wanaosindikiza kutambuliwa kwa siku hiyo wengi ni vijana, lakini wengi wa wazee, hususan wale ambao waliopata kushiriki katika Mapinduzi wanapinga wazo la kusherehekea Uhuru na kuienzi siku hii.
Haikubaliki kuisherehekea siku ya December 10 kwa Wazanzibari, nawale wafanyao hivi ni lazima wajue wanafanya makosa na wanawapoteza Wazanzibari wenzao.
Mapinduzi yamegubika unyonge ndani ya taifa la zanzibar na baya zaidi si tu kugubikwa wazanzibari wenyewe lakini pamoja na taifa lao limeshatumbukizwa mnadani, linanadiwa bila idhini yao wazanzibari.
Jee huu si unyonge mkubwa tena unashinda unyonge ule wa wakati wa sultani,wanapigwa,wanavunjiwa nyumba zao,wanabughudhiwa,wananajisiwa,wanafungwa,wananyang'anywa mali zao kisha yadumu mapinduzi!! Laa!! yadumuke juu chini.
WaZanzibar waachwe sasa wapumue.
Kataa serikali tatu, sema kila nchi ijitawale yenyewe, kuwatetea wenzetu wa wazanzabir.
MAPINDUZI=MUUNGANO=UKOLONI.

Mala ya kwanza maishani mwangu naona point toka kwako mkuu! Umeongoka? Mungu akutangulie na akili yako iwe okay hivyohivyo!
 
Kwanza naomba katiba ya Tanganyika kabla ya Muungano ionekane na iwekwe wazi kwa watanzania, Bendera yetu ya Tanganyika tuione....baada ya hapo Tanganyika itambuliwe kama nchi na Zanzibar kama nchi then tu-review muungano and its terms.....

Mkuu ni ngumu sana hilo unalolitaka kupatikana kutokana na usiri mkubwa wa muungano huu. Mimi nadhani sauti zetu tukizipaisha basi huenda ikawa njia nzuri ya kulifumbua fumbo hili la muungano.
 
Tatizo lipo kwa watanganyika hawataki kuienzi na kujitambulisha kwa utanganyika wao.
 
Kujikomboa ni process, uhuru ni hatua mojawapo ya hiyo process, uhuru ni historical fact inayoishi utake au usitake. hivyo kusherekeha uhuru ni sawia kabisa. Napenda kuwakumbusha wahafidhina wa mapinduzi kwamba kama kusingekuwa hamna uhuru 1963 mapinduzi yasingeweza kufanikiwa 1964. Hii inatoka na ukweli kwamba Mwingereza na vyombo vyake kama jeshi, polisi, usalama nk. vingekuwa pale Z'bar kitu ambacho kingefanya kuwa ngumu sana kupindua kwa kutumia mishale na majambia. Kimkakati libidi wakubali uhuru ili kutengeneza mazingira ya kufanikisha mapinduzi. Shangilieni uhuru wa 1963 sababu ni hatua muhimu katika kuleta ukombozi kamili.
 
@
Wazanzibari wanakaribia kutimizanusu karne ifikapo January 12 tokea Mapinduzi ya nchi hiyo, kuna fikra tofauti ya kwamba Wazanzibari ni lazima waanze kusherehekea siku yao ya uhuru pia, uhuru ambao ulipatikanwa siku ya December 10, 1963 kutoka kwa Muingereza.
Wale wanaosindikiza kutambuliwa kwa siku hiyo wengi ni vijana, lakini wengi wa wazee, hususan wale ambao waliopata kushiriki katika Mapinduzi wanapinga wazo la kusherehekea Uhuru na kuienzi siku hii.
Haikubaliki kuisherehekea siku ya December 10 kwa Wazanzibari, nawale wafanyao hivi ni lazima wajue wanafanya makosa na wanawapoteza Wazanzibari wenzao.
Mapinduzi yamegubika unyonge ndani ya taifa la zanzibar na baya zaidi si tu kugubikwa wazanzibari wenyewe lakini pamoja na taifa lao limeshatumbukizwa mnadani, linanadiwa bila idhini yao wazanzibari.
Jee huu si unyonge mkubwa tena unashinda unyonge ule wa wakati wa sultani,wanapigwa,wanavunjiwa nyumba zao,wanabughudhiwa,wananajisiwa,wanafungwa,wananyang'anywa mali zao kisha yadumu mapinduzi!! Laa!! yadumuke juu chini.
WaZanzibar waachwe sasa wapumue.
Kataa serikali tatu, sema kila nchi ijitawale yenyewe, kuwatetea wenzetu wa wazanzabir.
MAPINDUZI=MUUNGANO=UKOLONI.

kataa serikali ,tatu,kataaa serikali mbili, kataaa serikali moja.kila nchi ijiendeshe yenyewe
 
Wanaharakati wako wapi wa Tanganyika mbona hatuiyoni mijadala ya kuirudisha Tanganyika yenu?
 
Wanaharakati wako wapi wa Tanganyika mbona hatuiyoni mijadala ya kuirudisha Tanganyika yenu?

Watanganyika hawaitaki Tanganyika i5a wanaitaka Tanzania ni jabu na mshangao.
 
Back
Top Bottom