Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Wanabatizwa kila leo!
Alisemaje mkuu!!
Baba wa demokrasia Afrika Mashariki ni mzee Ally H. MwinyiTuachieni Baba Yetu wa Demokrasia....
Nakwambia ulevi mbayaWanabatizwa kila leo!
Hahahaa.....!!!!Nakwambia ulevi mbaya
Afadhali uchina!Jamaa zetu walimsifu sn kuwa baba demo, leo tena kasema odinga hata akishinda hatokaa kwa kuwa watamuangusha bungeni. Kiukweli hizi siasa africa kufata mkumbo .
Sikumsikia huyu spika aise, sasa naona wanaojivika umungu mtu Tanzania ni wengi mkuuMna mengi ya kujifunza maana nchi yenu inaendeshwa kibabe sana, kila mtu hadi spika ana mikwara noma noma, hebu tazama hii video.
https://www.facebook.com/video.php?v=1771496399815071
Tuachieni Baba Yetu wa Demokrasia....