Uhuru azindua Sare/Gwanda mpya kwa jeshi la Vijana wa Taifa (NYS)

Uhuru azindua Sare/Gwanda mpya kwa jeshi la Vijana wa Taifa (NYS)

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
BxLaz75IIAAM2cu.jpg


https://twitter.com/StateHouseKenya/status/509710347172085760/photo/1

CC: kadoda11 Bulldog
 
Last edited by a moderator:
Ni vijana wa taifa, kama kwenu wale wa JKT hawahusiani sana na maswala ya vita.
750300212.jpg
Wewe bado kijana sana na historia ya Tanzania huijui sawa sawa. Vijana wa JKT walihusika kwenye vita vya Kagera 1978-79!
 
Wewe bado kijana sana na historia ya Tanzania huijui sawa sawa. Vijana wa JKT walihusika kwenye vita vya Kagera 1978-79!

Nenda kasome historia uje upya, vita vya Kagera hamukuwa na jinsi wala pa kutokea, ilibidi mtumie hadi wanavijiji, polisi, JKT, wanamgambo, FRONASA ya Yoweri Museveni, Save Uganda Movement ya Akena p'Ojok, Ateker Ejalu na William Omaria na Kikosi Maalum (Special Unit) ya Lt Col David Oyite Ojok na Col Tito Okello.

Yaani ilibidi mkusanye chochote na kila mtu, wapiganaji wa JWTZ waliongezeka na kuwa 100,000 toka kwa 40,000. Ina maana Amin alikuwa hatari sana. Jamaa hangetoka virahisi, tena jeshi lake lilikua na utovu wa nidhamu sana hivyo hawakupigana kizalendo.
 
Nenda kasome historia uje upya, vita vya Kagera hamukuwa na jinsi wala pa kutokea, ilibidi mtumie hadi wanavijiji, polisi, JKT, wanamgambo, FRONASA ya Yoweri Museveni, Save Uganda Movement ya Akena p’Ojok, Ateker Ejalu na William Omaria na Kikosi Maalum (Special Unit) ya Lt Col David Oyite Ojok na Col Tito Okello.

Yaani ilibidi mkusanye chochote na kila mtu, wapiganaji wa JWTZ waliongezeka na kuwa 100,000 toka kwa 40,000. Ina maana Amin alikuwa hatari sana. Jamaa hangetoka virahisi, tena jeshi lake lilikua na utovu wa nidhamu sana hivyo hawakupigana kizalendo.
Wewe kijana vita hiyo nilihusika (​kabla hujazaliwa). Sikuisikia wala kuelezwa. Kwani kila kitu ni lazima ubishe? Usijifanye mjuaji kwa vitu usivyofahamu. Utaumbuka!
 
Wewe kijana vita hiyo nilihusika (​kabla hujazaliwa). Sikuisikia wala kuelezwa. Kwani kila kitu ni lazima ubishe? Usijifanye mjuaji kwa vitu usivyofahamu. Utaumbuka!

Siwezi shangaa unaposema ulihusika maana kila mzee Tanzania hudai alipigana na Amin kwenye hivyo vita. Wanavijiji walihusika pia, hivyo uhusika wa JKT haufai kushangaza yeyote.
 
Siwezi shangaa unaposema ulihusika maana kila mzee Tanzania hudai alipigana na Amin kwenye hivyo vita. Wanavijiji walihusika pia, hivyo uhusika wa JKT hfaufai kushangaza yeyote.
Wacha kubwabwaja. Wakati mwingine inabidi utulie ili dawa ikuingie vizuri!
 
Sina haja. Ila nitakusahihisha pale utakapokosea; kwa kujifanya unajua wakati hujui. Usiwe na wasiwasi!

Itakuchukua muda sana kufikia uwezo wa kunisahihisha. Rudi shule na kama Tanzania kuna shule za wazee.
 
Nenda kasome historia uje upya, vita vya Kagera hamukuwa na jinsi wala pa kutokea, ilibidi mtumie hadi wanavijiji, polisi, JKT, wanamgambo, FRONASA ya Yoweri Museveni, Save Uganda Movement ya Akena p’Ojok, Ateker Ejalu na William Omaria na Kikosi Maalum (Special Unit) ya Lt Col David Oyite Ojok na Col Tito Okello.

Yaani ilibidi mkusanye chochote na kila mtu, wapiganaji wa JWTZ waliongezeka na kuwa 100,000 toka kwa 40,000. Ina maana Amin alikuwa hatari sana. Jamaa hangetoka virahisi, tena jeshi lake lilikua na utovu wa nidhamu sana hivyo hawakupigana kizalendo.

Whats are u insinuating? Was a give away battle? Hv unajua TPDF forces? Unataka kufananisha na kenya au nchi hapa east africa? Mbona husemi other missions tulizoebda angola, congo, Mozambique na kwingine.

Kenya forces imeenda somalia imetolewa mavi na wahuni tu.

Usilete kabisa ushindani na medani za vita africa. Please!!
 
Itakuchukua muda sana kufikia uwezo wa kunisahihisha. Rudi shule na kama Tanzania kuna shule za wazee.
Ni kawaida kwa watu wasioelewa kitu kujifanya waerevu. Wewe historia ya Tanzania ulijifunzia wapi? Usijidanganye. Hujui lolote zaidi ya kujiona unajua. Fahamu: mtanga na jua hujuzwa.
 
Whats are u insinuating? Was a give away battle? Hv unajua TPDF forces? Unataka kufananisha na kenya au nchi hapa east africa? Mbona husemi other missions tulizoebda angola, congo, Mozambique na kwingine.

Kenya forces imeenda somalia imetolewa mavi na wahuni tu.

Usilete kabisa ushindani na medani za vita africa. Please!!

Hebu nipe mojawapo wa vita TPDF walipigana wao wenyewe bila kusaidiwa na yeyote.
- Vya Kagera walisaidiwa hadi na wanavijiji, jeshi la wapganaji 40,000 likageuka kuwa 100,000
- Vya M23 walisaidiwa na jeshi la SA, Congo, na Malawi

Kama huna taarifa zozote, fyata na upite kimya kama wenzio. Huu uzi ni kwa ajili ya sare mpya za vijana wetu wa taifa, mumekurupuka na zile ngoma zenu.
 
Whats are u insinuating? Was a give away battle? Hv unajua TPDF forces? Unataka kufananisha na kenya au nchi hapa east africa? Mbona husemi other missions tulizoebda angola, congo, Mozambique na kwingine.

Kenya forces imeenda somalia imetolewa mavi na wahuni tu.

Usilete kabisa ushindani na medani za vita africa. Please!!
Achana nae huyu dogo. Utapoteza muda wako bure. Hajui analoongea!
 
Hata wala mirungi wa kasarani hawawawezi, jeshi ni nguo kama pedo za dada zetu.
 
Back
Top Bottom