mkanta majura
Member
- Sep 22, 2020
- 97
- 71
Ikiwa bado Dakika chache kufikia madhimisho ya siku kuku ya Uhuru,
Ningependa tuwakumbuke kidogo kwa kuwaelezea, kwa uchache kati ya watu ambao huenda historia haijawataja kabisa ama wametajwa kwa uchache
Kwa kuanza ntaanza
Professor Joshua Mkhulilu
Kama alivo jipa jina baada ya kukata jina la kikoloni la Ken Edward
Ni mjamaica aliekuja Tanzania kwenye Harakati za kusaidia uhuru alikua lecture mlimani pia na ndio dean wakwanza wa Department ya social science, pia ni moja ya watu walochangia sana kuanzishwa kwa chuo cha " AIA ARUSHA " hayo yalikua ni mawazo yake pia
Alisaidia harakati za uhuru kwa kupitia elimu zaidi.
Haya twende kazi kwa kuwataja watu walofanya mazuri na
Kuhakikisha nchi inakua Huru na inapiga hatua za kimaendeleo
Ningependa tuwakumbuke kidogo kwa kuwaelezea, kwa uchache kati ya watu ambao huenda historia haijawataja kabisa ama wametajwa kwa uchache
Kwa kuanza ntaanza
Professor Joshua Mkhulilu
Kama alivo jipa jina baada ya kukata jina la kikoloni la Ken Edward
Ni mjamaica aliekuja Tanzania kwenye Harakati za kusaidia uhuru alikua lecture mlimani pia na ndio dean wakwanza wa Department ya social science, pia ni moja ya watu walochangia sana kuanzishwa kwa chuo cha " AIA ARUSHA " hayo yalikua ni mawazo yake pia
Alisaidia harakati za uhuru kwa kupitia elimu zaidi.
Haya twende kazi kwa kuwataja watu walofanya mazuri na
Kuhakikisha nchi inakua Huru na inapiga hatua za kimaendeleo