Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Naona unatafuta bwana.nishaoa nina wife home.Unajuta wewe na nyumbu wenzako, peleka utoto wako kwenye jukwaa la siasa kwenye ubishi wa kipumbavu.
Achana na watu wa namna hiyo, they can't integrate things, ni watoto wa form four hawa.Unajuta wewe na nyumbu wenzako, peleka utoto wako kwenye jukwaa la siasa kwenye ubishi wa kipumbavu.
Hatuwezi kuruhusu wanasiasa kutumia majanga kama njia ya kutafuta kiki. Upuuzi kama Wa Uhuru na Raila hatuwezi kuachia kwenye jamii yetu iliyostaarabika.
Uhuru, Raila clash at Ntimama funeral - VIDEO
[VIDEO] Uhuru tells off Raila in an ugly face-off at funeral of Ntimama
naunga mkono hilo la jaji wenyu kutoteuliwa na rais.tena kwa kasi. Leo hii jaji mkuu hateuliwi na rais, inabidi Wakenya wenye uwezo wajitokeze na kujieleleza uwezo wao na sifa zao tena mbele ya runinga ya taifa.
naunga mkono hilo la jaji wenyu kutoteuliwa na rais.
ila kuonyesha live kwenye tv mchakato wa kumpata jaji nachukulia tu kama mbwembwe za kikenya.
sambamba na hilo, kwa nchi kama ya Kenya yenye mivutano ya kikabila,jaji kutoteuliwa na rais, sio kinga ya kumfanya atende haki 100%.
Kwenda huko!!!Hivi why mnapenda minyukano isiyo na tija?? We are East Africa.... We are one.
Muachage ungese
Wewe ni mkenya, stop fooling around.Kalonzo nakuomba sana tena sana usiombe Kenya mkapata rais kama huyu wa kwetu.mtajutaaa
Kwani mkenya siyo mtu?Wewe ni mkenya, stop fooling around.
Ficha ujinga wako mbele za watu .hii forum inasomwa duniya nzima.Nyinyi Wakenya watu waajabu sana,kama katiba mnayoringia ni ya maana, mbona kwenye maandamano IEBC watu waliuwawa na serikali na hakuna aliyefikishwa mahakamani?mbona Kenya uko kwenye orodha ya nchi zinazoongoza kwa ufisadi mpaka Rais kwenu analia hadhrani?nauliza tena,katiba yenu inawasaidia nini?TZ,tuna katiba ya zamani, lakini ufisadi haupo juu kama wenu.
Hujapata fursa ya kuwafahamu wanasiasa wa upinzani wa Tanzania. Ni tofauti sana na wanasiasa wa Kenya.
Jaribu kufuatilia hata humu JF, utaona tofauti kubwa iliyopo kuhusu habari za wapinzani. Ni watu wanaotumia fursa kueneza uvumi.
Tazama hii video ya rais wenu;
Ni jukumu la kila rais kukemea mambo yote yanayokwenda kinyume, haijalishi anayehusika ni nani.
Kwa upande wa Tanzania, wanasiasa wa upinzani walipofika Bukoba wakageuza uwanja wa siasa badala ya kushughulika na kile kilichowapeleka. Kwa hiyo serikali ikapiga marufuku baadhi ya wanasiasa waliokuwa na hulka hizo.
nimependa mtanzania aliye mkenyaWacha porojo mingi bwashee,Izo scandals zenyu zinafuata sheria na mifumo kikatiba? Mtz atapewaje uraisi Kenya, hakuna mtz ana shida na iyo nyadhifa, makabila yenyu wenyewe kwa wenyewe mnanyimana madaraka hadi mnauana, sembuse mtz, si mtamchuna ngozi.