Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
what happened to the Likoni bridge? So now when Likoni bridge is built, will the two operate together?Bridge itasaidia watu 300,000 kuvuka kila siku. Tutazuia maafa kama yale yaliyofanyika Tanzania meli ilipozama au 1997 ferry ilipozama Kenya. Ni mradi mzuri sijui inalialia nini.
Hii ni temporary bridge ng'ombe wewewhat happened to the Likoni bridge? So now when Likoni bridge is built, will the two operate together?
Wait until next year January then start to ask these your stupid questions. Yes, the two will operate together since one is for vehicles and the other is for pedestrian.what happened to the Likoni bridge? So now when Likoni bridge is built, will the two operate together?
Kama ukoo wenu!Hii ni temporary bridge ng'ombe wewe
Bridge itasaidia watu 300,000 kuvuka kila siku. Tutazuia maafa kama yale yaliyofanyika Tanzania meli ilipozama au 1997 ferry ilipozama Kenya. Ni mradi mzuri sijui inalialia nini.
Watu wenye magari ni 6,000 huku wanaovuka kwa miguu ni 300,000. Tumia akili kidogo. Nyinyi wa gari endesheni gari kwenye maji mkazame. Hatuwajali. Mtatumia ferry kama kawaidaSisi wenye magari hiyo bridge itatusaidia vipi kuvuka kwenda Likoni? au itabidi tu ku-risk life kwa kupanda kile kivuko kibovu?
Watu wenye magari ni 6,000 huku wanaovuka kwa miguu ni 300,000. Tumia akili kidogo. Nyinyi wa gari endesheni gari kwenye maji mkazame. Hatuwajali. Mtatumia ferry kama kawaida
Wenye pesa wapande ndege wavuke.Dah we jamaa bhana, hujui life ya hao watu 300, 000 yanategemea kuishi kwa hao watu 6,000? Sasa wenye maweng za kutosha ndio wapate tabu ku risk life kwa kivuko kibovu huku makajamba wakijengewa daraja? Gavoo haiojali wale wenye pesa tena eh?
Wenye pesa wapande ndege wavuke.
Watumie ferry. Hata watalii watafurahia sana maana hakutakuwa na umati wa watu. Hakuna kufinyana tena kwenye ferry.Iko airstrip kule?.. halafu acha kuwa arrogant.. ujue kuna Britons wengi sana kule wangependa usafiri wa uhakika na salama. Sasa wanajenga foot bridge investors na magari yao wapite wapi jameni?
Watumie ferry. Hata watalii watafurahia sana maana hakutakuwa na umati wa watu. Hakuna kufinyana tena kwenye ferry.