Uhuru Kenyatta Ahutubia Umoja Wa Mataifa, Amsifia Mkewe

Uhuru Kenyatta Ahutubia Umoja Wa Mataifa, Amsifia Mkewe

nkosikazi

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2010
Posts
361
Reaction score
337
Nimesikiliza kwa masikitiko makubwa sana pale rais wa Kenya, bw. Uhuru Kenyatta akilihutubia baraza la Umoja wa Mataifa mbele ya viongozi wote wakuu wa dunia, aliongelea jinsi Kenya ilivojizatiti kujikinga na ugonjwa wa ebola na akamsifia sana "First Lady of Kenya, Mrs. Kenyatta,for a very good job that she is doing....". Nimesikia aibu sana sana! Kwamba Kenyatta hana hekima hata kidogo kuwa ni aibu kumpa cheo mkeo kisichomstahili na kuja all the way huko UN ughaibuni na kumsifia kwa kazi nzuri anayoifanya! Shame on him!
 
mvuta bang hawezi kiwa na hekima
 

Attachments

  • 1411669555151.jpg
    1411669555151.jpg
    41.7 KB · Views: 566
  • 1411669595014.jpg
    1411669595014.jpg
    53.8 KB · Views: 517
  • 1411669680981.jpg
    1411669680981.jpg
    11.1 KB · Views: 507
Mwenye hekima ni nani sasa??? Kikwete ?????
Sijaiona hekima ya rais wa Kenya kwenda New York, Marekani, na kumsifia mkewe kwenye mambo ambayo viongozi wenzake hawayajui. Hata angefanya vizuri vipi hakupaswa kumsifia kwenye hadhira ile. Hapakuwa mahali pake. Naamini Kikwete hawezi kufanya hivyo
 
Aiiiiiiseeeee bora ni Kenyatta nilijua labda ni huyu wa kwetu, mbona pangekuwa padogo hapa nyumbani..!! Na watu wanavyomchukia....

Enheeee mleta mada hujapatako ka Speech ka FastJet wetu angalau tujue kilichompeleka huko na kukaa karibu wiki mbili akimwaga POINT ktk mataifa ya Wakubwa huko

Fanya hima mkuu tuwekee tujue mzee wetu this time katuombea nini maana bado kale ka umeme tulikoahidiwa na kaka yetu Obama hatujakaona vipi tripu hii katuombea vyandarua au madawa na mabanzi ya kutengenezea mahema ya kujikinga na Ebola..??

BACK TANGANYIKA
 
Aiiiiiiseeeee bora ni Kenyatta nilijua labda ni huyu wa kwetu, mbona pangekuwa padogo hapa nyumbani..!! Na watu wanavyomchukia....

Enheeee mleta mada hujapatako ka Speech ka FastJet wetu angalau tujue kilichompeleka huko na kukaa karibu wiki mbili akimwaga POINT ktk mataifa ya Wakubwa huko

Fanya hima mkuu tuwekee tujue mzee wetu this time katuombea nini maana bado kale ka umeme tulikoahidiwa na kaka yetu Obama hatujakaona vipi tripu hii katuombea vyandarua au madawa na mabanzi ya kutengenezea mahema ya kujikinga na Ebola..??

BACK TANGANYIKA
Yeye anasema nchi yake iko vizuri sana. Inapiga maendeleo kwa msaada wa wakubwa
 
Nimesikiliza kwa masikitiko makubwa sana pale rais wa Kenya, bw. Uhuru Kenyatta akilihutubia baraza la Umoja wa Mataifa mbele ya viongozi wote wakuu wa dunia, aliongelea jinsi Kenya ilivojizatiti kujikinga na ugonjwa wa ebola na akamsifia sana "First Lady of Kenya, Mrs. Kenyatta,for a very good job that she is doing....". Nimesikia aibu sana sana! Kwamba Kenyatta hana hekima hata kidogo kuwa ni aibu kumpa cheo mkeo kisichomstahili na kuja all the way huko UN ughaibuni na kumsifia kwa kazi nzuri anayoifanya! Shame on him!
Duh, nadhani haya ni madhara ya kuchanganya msuba na viroba. Jamaa anafikiri hapo UN yupo kijiweni sio?
 
Beyond Zero campaign ilianzishwa na bi. Kenyatta kupunguza vifo vya akina mama wakati wa uzazi, na hilo project limesucceed sana towards that end. Sasa, shida iko wapi Kenyatta kumpongeza mtu kwa mafanikio na utu kama huo? Shida hapa ni juu ni mkewe? Na je, angekuwa mtu mwengine mwanzilishi wa project hilo?

Mimi hapo sioni makosa hata kidogo. It was an outstanding humanitarian effort that is worthy of praise.
 
With all due respect, i think some of you criticize for the sake of exercising your fingers. Which post has the first lady been given?
 
Sijui kwa nini viongozi wetu hawasomi nyakati,pale UN unapewa muda mfupi mno mambo ya msingi ya kuongelea yapo mengi sana hata siku nzima huwezi yamaliza,badala ya kuzungumzia mambo haya ya msingi wamsifia mkeo ili iweje?
 
Nimesikiliza kwa masikitiko makubwa sana pale rais wa Kenya, bw. Uhuru Kenyatta akilihutubia baraza la Umoja wa Mataifa mbele ya viongozi wote wakuu wa dunia, aliongelea jinsi Kenya ilivojizatiti kujikinga na ugonjwa wa ebola na akamsifia sana "First Lady of Kenya, Mrs. Kenyatta,for a very good job that she is doing....". Nimesikia aibu sana sana! Kwamba Kenyatta hana hekima hata kidogo kuwa ni aibu kumpa cheo mkeo kisichomstahili na kuja all the way huko UN ughaibuni na kumsifia kwa kazi nzuri anayoifanya! Shame on him!

wabongo saa nyingine tuache wivu wa "kijinga".
 
Now that united nations have made her personality of the year 2014, were his actions not vindicated?
 
Nimesikiliza kwa masikitiko makubwa sana pale rais wa Kenya, bw. Uhuru Kenyatta akilihutubia baraza la Umoja wa Mataifa mbele ya viongozi wote wakuu wa dunia, aliongelea jinsi Kenya ilivojizatiti kujikinga na ugonjwa wa ebola na akamsifia sana "First Lady of Kenya, Mrs. Kenyatta,for a very good job that she is doing....". Nimesikia aibu sana sana! Kwamba Kenyatta hana hekima hata kidogo kuwa ni aibu kumpa cheo mkeo kisichomstahili na kuja all the way huko UN ughaibuni na kumsifia kwa kazi nzuri anayoifanya! Shame on him!

SHAME ON YOU, you are dumb and sick to the core.

President Uhuru: You are the BEST and continue the good job.

Nyinyi ndio mnachukia WAKE ZENU na kuwafanya kama WATUMWA. Nyambafhu.
 
Ni vizuri kumsifia MTU kama kafanya jambo flani LA kimaendeleo eitha la kwake binafsi au LA kijumuiya. Kwa upande mmoja sijaona tatizo LA Kenyatta junior kumsifia Mke wake but kwa upande Wa pili kosa ni yeye Kenyatta ambae ni raisi Wa nchi ambae anabeba taasisi kubwa ya uraisi na chini yake kuna servants wengi wanaofanya vizuri ktk majukumu yake, Rais Kenyatta alitakiwa kuwapongeza wasaidizi wake wote wakiwemo wananchi wake kwa wao kufanikisha maendeleo nchini Kenya na hakupaswa kutumia UN summit kumpongeza mkewe au MTU au kikundi chochote alichotakiwa ni kuongea issues na facts kwa wadau Wa maendeleo waliokuwepo kwenye kikao hicho nyeti
 
nkosikazi Unaelewa kamsifia kwenye kitu gani?

Au swala ni kwamba ni mkewe? Embu msome hbuyosh halafu leta paragraph tu ya hio section ya speech hapa, tuelimishane relevance ya kumsifia 1st lady pale.
Na je lugha ya malkia unaielewa vizuri?

Si heri huyo kuliko ambaye kila akipanda ni "we ask help for better schools,good roads. We need help in medicinw from our friends..."
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom