Uhuru Kenyatta amzaba jamaa kibao baada ya kurudi kutoka Hague....

Uhuru Kenyatta amzaba jamaa kibao baada ya kurudi kutoka Hague....

Afu ngombe nao pia wakaleta mshike mshike...mpaka walinzi wakaingia mitini...lol!..Inabidi wafutwe kazi...😛eep:

_78123673_17_kenyacows_epa.jpg


 
Tena nasikia siku moja kuna jamaa alimsemea mbovu mamake uhuru,rais akasikia,akawasha gari mpaka club jamaa anapohangout ili wakamalizane man to man,jamaa kusikia rais amekuja wazipige ndondi,akasepa kupitia mlango wa nyuma.
 
Tena nasikia siku moja kuna jamaa alimsemea mbovu mamake uhuru,rais akasikia,akawasha gari mpaka club jamaa anapohangout ili wakamalizane man to man,jamaa kusikia rais amekuja wazipige ndondi,akasepa kupitia mlango wa nyuma.
Angeenda na mwanasheria waandikishane kuwa angepigwa hakuna madai!!!
 
Jamaa hataki masikhara kabisa....

jamaa anataman sana mambo ya kitaa kama vile kukaa kijiweni kula bangi na vitu vingne. hivi yule jamaa aliekamatwa na bangi akiingia nayo ikulu imeishia wapi
 
Heh heh huenda alimwambia wewe bwana utaozea Hague
 
I wish TZ had this guy as our commander in chief

so approachable and so engaging and so cool
 
Isn't this damaging? Looking at it from a "rule of law" perspective! Anawezaje kuhimiza watu wengine wasichukue sheria mikononi mwao wanapohisi kutendewa visivyo?
 
Hapa sijui kulikuaje tena wadau, lakini jamaa anaonekana kamkasirisha Rais Uhuru mpaka akamchapa kibao afu
jamaa kachukuliwa mzobe mzobe na walizinzi wake..najua alijuta huko alikopelekwa.



mfianchi, Ngongo, ukwelikitugani, Askari Kanzu,


Ama kweli ganja mali! Yaani amiri jeshi mkuu anafanya mambo ya manzese uwanja wa fisi? Nimechekaje!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom