johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nasikia serikali inataka kusitisha kabisa matumizi ya shisha, ianze na huyu mleta uziRais mstaafu mzee Mwinyi aliwahi kusema Kazi iliyowashinda marais watatu yeye Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu.
Jana Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema atastaafu mwezi august akiwa ameiletea nchi hiyo maendeleo ambayo watangulizi wake wote anzia mkoloni ukiwahanganya pamoja walishindwa kuyafikia.
Rais Uhuru aliyasema hayo kwenye sherehe za Siku ya Madaraka kupitia Citizen tv
Ya kuwapiga Risasi wapinzani wake na Kuwabambikizia KesiMzee wa Chato ana rekodi gani?
anazo rekodi nyingi tu,kubadili nidhamu kazini,kuweka hari ya watu kufanya kazi,mji wa Daresalaam kuwa wa kisasa zaidi kwa kurekebishwa miundombinu,marekebisho shirika la reli Tanzania na ufufuaji njia zilizokufa,usambazaji miundombinu maalum kurahisisha usafiri km mwendokasi,madaraja ya kigogobusisi,kigamboni na salendar,ufanisi ktk sekta ya madini.Unatizama mabaya tuu kana kwamba hii dunia kuna raisi mtakatifu,huyo Trump kamaliza uongozi akiwa kuna machafu mengi tu kayafanya ukiachana na ufanisi wake.Ya kuwapiga Risasi wapinzani wake na Kuwabambikizia Kesi
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
I agree, to add Uhuru has built more roads than all past presidents combined, even though foundation was laid by Kibaki, to me Kibaki takes the credit, he is our "economic messiah".Aaah wapi, wakenya wote wanajua kwamba hilo taji bila shaka lipo na mwendazake, rais Mwai Kibaki. Wala sidhani hivi karibuni tutampata mwingine kama yeye. Aliipaisha Kenya hadi ikafika ilipo sasa hivi na rais UK alibahatika sana kuachiwa msingi dhabiti na Mwai Kibaki.
Uhuru amejaribu sana pia, amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kukuza uchumi wa Kenya.
Alipofanikiwa zaidi ni kisiasa, maanake aliibuka na ari mpya na ya kupendeza sana. Ambapo siasa alizifanya zikawa sio za uadui kama wa paka na panya. Dhidi ya upinzani na wengine wote, ambao hawakukubaliana naye kisera na kwenye masuala mengine ya kiuongozi.
unafaidika na nini kwa kupotosha umati?anazo rekodi nyingi tu,kubadili nidhamu kazini,kuweka hari ya watu kufanya kazi,mji wa Daresalaam kuwa wa kisasa zaidi kwa kurekebishwa miundombinu,marekebisho shirika la reli Tanzania na ufufuaji njia zilizokufa,usambazaji miundombinu maalum kurahisisha usafiri km mwendokasi,madaraja ya kigogobusisi,kigamboni na salendar,ufanisi ktk sekta ya madini.Unatizama mabaya tuu kana kwamba hii dunia kuna raisi mtakatifu,huyo Trump kamaliza uongozi akiwa kuna machafu mengi tu kayafanya ukiachana na ufanisi wake.
Sio upotoshaji, na kuna mengine mengi hajayaelezea,mf sector ya afya etc. Afu ww ni mkenya, most probably magufuli hater, so utahate tu na kuhisi he's overrated. Though he wasn't perfect like everybody else, de guy did wonders in a very short period. Na wananchi watalinganisha performance ya viongozi wote watakaokuja against his performance.unafaidika na nini kwa kupotosha umati?