..chairman wa SADC troika ana dhamana ya kuelekeza operation za pamoja za majeshi ya SADC.
..Nimeshangaa Raisi hakwenda kwenye mkutano huo badala yake akawa nchini akihudhuria mkutano wa ma-engineer.
..waziri wa mambo ya nje alipaswa kumshawishi Raisi kwamba SADC Troika ni dhamana na heshima kubwa kuiongoza na Raisi wetu anapaswa kuhudhuria mkutano huo.
..mikutano ya ma-engineer Raisi ameshahudhuria mingi tu kwasababu alikuwa waziri wa ujenzi for 15+ yrs.
..SIASA ZETU ZA MAMBO YA NJE ZIMELEGALEGA.
Kafrican, kilam, MK254
Ukali wa Magufuli ulikuwepo tokea alivyokuwa Waziri, watu walimchagua kutokana na ukali wake.Tuende mbele turudi nyuma, kwa kweli binafsi sioni tatizo hapo maana mfumo wa uongozi kwenye nchi yenu una cheo cha waziri mkuu mwenye mamlaka. Hivyo kwa yeye kumwakilisha rais, hapo naona ilikua sawa tu. Pia huyo waziri mkuu wenu nimemskliza mara nyingi, yupo sawa sana kwenye kujieleza na sio mkurupukaji. Yupo makini sana na anatumia hekima kila anapoongea.
Japo pia masuala yanayohusu kongomano la marais wa mataifa tofauti, yanahitaji rais mwenyewe ahudhurie maana pale ndipo kunakua na kitu tunata "peer to peer networking" na maamuzi yanafanyika mengi. Lakini hata hivyo nategemea waziri wenu mkuu aliwakilisha rais ipasavyo.
Halafu vipi JokaKuu mbona ngosha Magu ana mikwara sana siku hizi kwenye hotuba zake, kwani itakua mumemfikisha pasipo na lile lenu la UKUTA. Nimeona hotuba zake kweye Youtube, hadi anapiga mayowe ya vita hiiiiiiiiii!!! Katika hali hiyo itabidi wapinzani muwe wapole na kumbembeleza akubali katiba ifanyiwe marekebisho.
La sivyo naona kama upinzani utafutwa kabisa ndani ya Tanzania, ikizingatiwa Wabongo wengi hususan vijijini wanakipenda sana chama tawala. Siku moja nipo maeneo huko Bongo tunakunywa vinywaji na kuburudika na live band, halafu ghafla wale watumbuizaji wakaanza kuimba wimbo wa CCM yaenda mbele, aisei nilishangaa wateja wote walinyanyuka wote na kwenda kucheza tena kwa raha sana. Hivyo hicho chama bado kina umaarufu sana na hayo mambo ya UKUTA sidhani kama yanaweza kubadili chochote, muwe wapole na kuwa na mikakati mipya ya kujadiliana na rais kule ikulu moja kwa moja tena kwa ushirikiano ili mrekebishe katiba.
Sana tu.Kumbe Rais uhuru naye anapitiapitia jf na kujionea porojo za BAVICHA? aisee.
Hapana siyo kweli, mahisiamo ya JPM na Raila ni ya kifamilia zaidi na mahusiano ya JPM na Uhuru Kenyatta ni mahusiano kati ya nchi na nchi. Hivyo ni kujitoa ufahamu kwamba Rais Kenyatta amepotea.Kenyatta amepotea Magufuli mshirika wake wa karibu ni Raila Odinga
Tatizo lenu BAVICHA ndilo hilo, jambo linapokuwa Chanya mnaingiza porojo na linapokuwa HASI mnalikomalia. Aibu yenu.As a president what did you expect him to say? He is diplomatic not aaaa like .....
Hicho ndicho kilichobakia kwa BAVICHA, kila wanaposhika wanapigwa mweleka. Hawana jinsi zaidi ya kutapatapa na maneno mbofu mbofu.Tatizo lenu BAVICHA ndilo hilo, jambo linapokuwa Chanya mnaingiza porojo na linapokuwa HASI mnalikomalia. Aibu yenu.
Ndo akili yako ilipo kila anayetoa hoja unadhani ni bavicha! Angalia content weweTatizo lenu BAVICHA ndilo hilo, jambo linapokuwa Chanya mnaingiza porojo na linapokuwa HASI mnalikomalia. Aibu yenu.
Nimekusoma.Hicho ndicho kilichobakia kwa BAVICHA, kila wanaposhika wanapigwa mweleka. Hawana jinsi zaidi ya kutapatapa na maneno mbofu mbofu.
Ukisoma vizuri, hawajasema kwamba kuna rift. Wamesema the exact opposite - kwamba hakuna rift.