Uhuru Kenyatta kabeba ajenda za Afrika Mashariki kwenye kikao chake na Joe Biden wa USA

..huo ulikuwa upumbavu wa serikali ya awamu ya 5.

..Maza amekwenda UNGA na kuiambia dunia nzima kwamba anaamini ktk mahusiano mema na ushirikiano baina ya mataifa.
 

Attachments

  • FB_IMG_16342406921902479.jpg
    48.4 KB · Views: 2
  • FB_IMG_16342407001515441.jpg
    33.7 KB · Views: 2
Hehehehe! Mleta mada mara moja moja huwa napenda kupitia jukwaa la siasa na huwa nakumbana sana na nyuzi zako, unapenda kuwatibua sana wafuasi wa Chadema, unachekesha sana, sasa subiri hapo pembeni majibu yao humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…