Uhuru Kenyatta kama umeshindwa na usalama jiuzulu. Kenya ni kubwa kuliko wewe

Uhuru Kenyatta kama umeshindwa na usalama jiuzulu. Kenya ni kubwa kuliko wewe

flyingcrane

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
241
Reaction score
88
Uhuru Kenyatta amejipata katika njia panda kwa matukio ya kigaidi yanayokumba taifa. ameandaa vikao na national security council kutafuta suluhisho la haraka ama awapige kalamu. Raisi anajisifia kununua na kukodisha magari ya askari polisi pamoja nakuongeza fedha lakini hatuoni ufanisi wowote. Hivi sasa anatunyoshea kidole cha lawama eti usalama ni kazi ya wananchi. Serikali ya digitali imeshindwa na kazi sasa nikulalama tu na kunyoshea wananchi vidole. Huku wananchi wakimshinikiza Olelenku na kimaiyo kujiuzulu naye raisi kutoa matamshi ya ki**** Alshabaab wanapanga na kupangua jinsi ya kuliumiza taifa. Tufanye jitihada kuwaondoa olelenku na kimaiyo kutoka kwa madaraka yao wakauze nguo gikomba. what if Alshabaab is planning a nuclear attack on Kenyan soil or even nerve gas on our soil. What if they contaminate water in our pipes with poison??? Nani anafaa azuie tendo kama hili la kigaidi ni Wananchi ama serikali? Uhuru Kenyatta is seriously jokn with our lives? Its better we have security in our country than superhighways he is trying to make.
 
Ya nyumbani kwenu yamekushinda unajitiati huko nyuma umesahau Escrow.

Swissme;
 
..anachotakiwa ni kuongeza mashambulizi dhidi ya al-shabaab ndani ya Somalia.

..pia arekebishe mahusiano baina ya security organs na wananchi wa Mombasa.

..suala hili litachukua muda, na wakati mwingine mnaweza hata kudhani ushindi uko mbali.

..Wakenya hamtakiwi kukata tamaa ktk vita hivi.
 
Hajakosea. Ni kweli usalama wa wa Kenya inatakiwa uanzie kwa wananchi wenyewe na hapo ndio mtaweza kuudhibiti uhalifu wa ndani na baade nje. Acha kulaumu.
 
mleta mada boya kweli...wew unashirik vp ulinzi wa nchiyako? kila mkenya ni jukumu lake...iwe kwa maombi, info au mapambano! ukute kati yenu kuna wasaliti pia...then wategemea nn! mwombeeni uhuru afanye vyema...cyo kulaumu tu!
 
Mimi mkenya
Ondoeni jeshi lenu katika ardhi ya Somalia kama mnataka amani ya Kenya, vyenginevyo lieni kimyakimya.Chezea Alshabaab nyie! mtatandikwa mpaka mkome na kimbelembele chenu.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
intelligence begins at ground level kwa wananchi....high level hao wataka wajiuzulu are politicians only/flags. The big questions should how can Kenyatta and his aides train ground level and induce them in intelligence?!!
 
ya nyumbani kwenu yamekushinda unajitiati huko nyuma umesahau escrow.

Swissme;
tumechoka kuwahifadhi mnapowakimbia wasomali.toeni majeshi yenu somalia kiherhere chenu kitawamaliza hamuwawezi wasomali
 
tumechoka kuwahifadhi mnapowakimbia wasomali.toeni majeshi yenu somalia kiherhere chenu kitawamaliza hamuwawezi wasomali
Nani aliyekwambia alshabaab hawapo Tz.. usipoona mabomu yakirushwa haimanishi hawapo, inamanisha wanasubiri tu muongee vibaya kuwahusu kisha wayatoe misikitini na kuyatumia. sisi tumeamua kuyaangazia yetu nyinyi mukae mukijiliwaza
 
nani aliyekwambia alshabaab hawapo tz.. Usipoona mabomu yakirushwa haimanishi hawapo, inamanisha wanasubiri tu muongee vibaya kuwahusu kisha wayatoe misikitini na kuyatumia. Sisi tumeamua kuyaangazia yetu nyinyi mukae mukijiliwaza
nguvu hamna lakini kidomodomo na kiherehere
 
nguvu hamna lakini kidomodomo na kiherehere

Kebehi na Kashfa kwa majirani zetu vya nini?? EA ni kama nchi moja... Kama kenya haipo salama ujue na sisi hatupo salama... Ur are not safe unless perished away.. Kati ya nchi zisizo na usala ma hata kidogo basi Tanzania ni ya kwanza.. Ni vile Mungu anatunusuru tu mzee.. Fatilia vyombe vya habari.. Kila leo wanaibua mabomu na silaha sema havijatumika.. BNa wanaoibua si kwamba wanajeshi wamefanya kazi au polisi ni wananchi na wanakuwa hawajui ni kitu gani..

Tumia akili kupost
 
Nani aliyekwambia alshabaab hawapo Tz.. usipoona mabomu yakirushwa haimanishi hawapo, inamanisha wanasubiri tu muongee vibaya kuwahusu kisha wayatoe misikitini na kuyatumia. sisi tumeamua kuyaangazia yetu nyinyi mukae mukijiliwaza

You must be kidding, so tunavyojadiliana hapa mabomu yapo misikitini?
 
Back
Top Bottom